Simba SC vs El Merreikh kuchezwa bila mashabiki

Simba SC vs El Merreikh kuchezwa bila mashabiki

Hao El Mereikh wangekuwa na akili wangewatafuta Prisons haraka sana ili wawape mbinu za kumchinja mnyama kwa urahisi zaidi.
 
Mechi zote za caf zitachezwa bila mashabiki kufata fair play rule... maana sio haki mmoja acheze kwake bila mashabiki kumshangilia.. ila mwingine ashangiliwe na mashabiki wake...

Caf imeamua kuweka usawa kote
Nafikiri hasa wamezingatia hili.
 
Hiki ndio kilichompeleka CEO wetu ili mashabiki tusiingiee uwanjani Dah [emoji23][emoji23][emoji23]
JamiiForums-1062125803_281x346.jpg
 
Mlizoea kutembelea upepo wa corona,
Sasa mjiandae kisaikolojia kwani hata robo fainali hamtoboi
Simba ameshinda Nigeria bila Mashabiki,
Simba ameshinda Kinshasa bila Mashabiki
Simba amechukua point Sudan bila Mashabiki

Ulichokiandika hapo inaonekana wewe ni BRAINWASHED.

Hata wangesema tucheze usiku bila kuwasha taa kwa Mkapa hatoki mtu.
 
Mechi zote za caf zitachezwa bila mashabiki kufata fair play rule... maana sio haki mmoja acheze kwake bila mashabiki kumshangilia.. ila mwingine ashangiliwe na mashabiki wake...

Caf imeamua kuweka usawa kote
sasa kama ni hivyo CAF ingeshirikisha maoni ya wadau wapewe utaratibu uliozoeleka huku

Wamefanya bonge la mistake ona sasa mashabiki wa yanga wamepata hasara, jezi za el merick walizozinunua kwa ajili ya kuwapa company el merick watazivalia wapi?
 
Back
Top Bottom