Simba SC vs El Merreikh kuchezwa bila mashabiki

Simba SC vs El Merreikh kuchezwa bila mashabiki

How? Wakati they won against Al Ahly au bado unaota? Kwani huwa wanacheza mashabiki au wachezaji? Tuache umaandazi. Kijana ukiwa mnafiki uzeeni unakuwa mchawi. Tujenge Yanga yetu na si kuwa wanafiq na wachawi.
Kweli we Chizi, kuna sehemu nimeandika hapa Wanacheza na Al Ahly? .Thread inasema wanacheza na Al -Merrikh wewe unaleta mambo ya Ahly..

Yanga itajengwa na wanaYanga sio wanasimba (japo sijajua uYanga umetokea wapi hapa)

Sent from my SM-J720F using JamiiForums mobile app
 
Afisa Habari wa Simba SC Haji Manara leo ametangaza kuwa CAF wamezuia Mashabiki kwenye mchezo wa Club Bingwa Afrika March 16 , 2021 , Uwanja wa Mkapa kati ya Simba vs El Merreikh ya Sudan hivyo Mechi hiyo itachezwa bila Mashabiki .​

View attachment 1724422


Haji manara

Mechi yetu na Al Merrikh ipo pale pale lakini wakati tukiendelea na maandalizi tumepokea taarifa kutoka TFF ambayo imetolewa na CAF kwamba tucheze bila mashabiki .

" " Mnawajua mashabiki wetu lakini hakuna namna tutacheza bila mashabiki . Wanaruhusiwa maafisa na watu wachache ambao wanahusika na mchezo . "

" Simba imezoea kucheza bila mashabiki ikiwa nje ya nchi lakini sikumbuki kama hapa nchini tumewahi kucheza bila mashabiki .

Tunawaomba radhi mashabiki kwa mechi hii sababu ni maamuzi ya CAF ambao ndio wenye mamlaka ya soka Afrika . "

" Itakuwa ni vita ya kimya kimya kama ambavyo Simba anawinda . Wachezaji wetu wamezoea kucheza mbele ya mashabiki na wamezoea kucheza bila mashabiki , naamini wana uzoefu wa kutosha kucheza kwenye hali kama hiyo .

" - Haji Manara Afisa habari wa Simba
Aidha mfuate masharti ya wakubwa au mjitoe.
 
Mechi zote za caf zitachezwa bila mashabiki kufata fair play rule... maana sio haki mmoja acheze kwake bila mashabiki kumshangilia.. ila mwingine ashangiliwe na mashabiki wake...

Caf imeamua kuweka usawa kote

TV huwa zinachelewa kurusha matangazo. Unajuta uwanjani goli limeingia sekunde 4 zilizopita ndiyo mnarushiwa,
Ni afadhali kuliko kukosa kabisa!
 
Ubishi wa mishabiki kukaa kwa lurundikana kama ndizi uwanjani ndio faida yake hii kupigwa ban mashabiki. Hii ilionekana mapema maana watu walikua wanaingia wachache ila wanakusanyana sehemu moja.
 
Kweli we Chizi, kuna sehemu nimeandika hapa Wanacheza na Al Ahly? .Thread inasema wanacheza na Al -Merrikh wewe unaleta mambo ya Ahly..

Yanga itajengwa na wanaYanga sio wanasimba (japo sijajua uYanga umetokea wapi hapa)

Sent from my SM-J720F using JamiiForums mobile app
Mbona umepanic sana? Kama mtoto aliyebemendwa huwa anaona anaonewa tu hata swali la kawaida anapanic sana. Just relax na endelea kujifukiza pia kwa hali yako uwe u alamba na limao. Litakusaidia kuondoa kichefuchefu
 
Mbona umepanic sana? Kama mtoto aliyebemendwa huwa anaona anaonewa tu hata swali la kawaida anapanic sana. Just relax na endelea kujifukiza pia kwa hali yako uwe u alamba na limao. Litakusaidia kuondoa kichefuchefu
Pole sana mdogo wangu, unateseka sana kwa kudhani nimepaniki [emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my SM-J720F using JamiiForums mobile app
 
Mechi zote za caf zitachezwa bila mashabiki kufata fair play rule... maana sio haki mmoja acheze kwake bila mashabiki kumshangilia.. ila mwingine ashangiliwe na mashabiki wake...

Caf imeamua kuweka usawa kote
Baada ya Mwarabu kuuawa
 
Back
Top Bottom