Simba SC vs Mbao SC

Vyura kwa roho mbaya na wivu bado mtadai Simba hawajafaidi chochote kwa kuchukua mshindi wa tatu.
 
Hongereni Simba tujiandae kuwakabili Waarabu huko kwa Mafarao.
 
Hiv mbao na umasikini wao wanakomaa hv cku wakipata mfadhili kama Mo sindo watachukua ndoo ya africa kabisa awa watoto?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…