kidi kudi
JF-Expert Member
- May 17, 2011
- 2,450
- 2,013
alikuwepo jamaa fulani wa kuitwa mtambo wa magoli aka FISTON, sijui kaishia wapi huyu mtamboPesa inaongea sio kuleta habari za mihogo hapa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
alikuwepo jamaa fulani wa kuitwa mtambo wa magoli aka FISTON, sijui kaishia wapi huyu mtamboPesa inaongea sio kuleta habari za mihogo hapa.
eti kila dakika 15 goli,daaah jamaa wanaongopeanaalikuwepo jamaa fulani wa kuitwa mtambo wa magoli aka FISTON, sijui kaishia wapi huyu mtambo
Prince Dube ..14Bocco....15
Mugalu....14
kagere...13
🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Nimekuja mkuu OKW BOBAN SUNZU Tupo Pamoja kwenye game ya kukabidhiwa Mwali wetu..Hii ndo tofauti ya sisi Wekundu na wao Kijani.
hawa wanakula 5 leo2H tupate mbili tena
Utopolo wanaruka ruka tu huko
Wayafanye ni wajibu waombeya city anafanya mauaji huko