Citizen B
JF-Expert Member
- May 13, 2019
- 6,681
- 9,084
Droo?wanatukanana tu huko. otea
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Droo?wanatukanana tu huko. otea
Nilivyoona likagere limefunga goli la kuvizia-vizia nikapatwa na hasira nikaenda zangu baharini kucheza na watoto tu. Nimechukia sana leo,
ndioDroo?
Vpl wawape tuzo ya kutoa droondio
Bado tar25Nilivyoona likagere limefunga goli la kuvizia-vizia nikapatwa na hasira nikaenda zangu baharini kucheza na watoto tu. Nimechukia sana leo,
Nikisikia neno Simba huwa napatwa sana na kisirani sijui kwanini...Bado tar25
Karibu Msimbazi mkuuNikisikia neno Simba huwa napatwa sana na kisirani sijui kwanini...
Nikisikia neno Simba huwa napatwa sana na kisirani sijui kwanini...
Mimi ni shabiki lia lia wa Simba,lakini kwenye hiki walichoandika kwenye mabango wangemwachia CEO akajibu mwenyewe.Salamu za washabiki wa Simba kwa Kijola aka Kidoti hizi hapaView attachment 1859147
Lililoandikwa limeandikwa na ujumbe umemfikia mlengwaMimi ni shabiki lia lia wa Simba,lakini kwenye hiki walichoandika kwenye mabango wangemwachia CEO akajibu mwenyewe.
Hukujibu