Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni maoni yako mkuu, haya tutajie timu yenye wachezaji wazuri ambayo yenya alama kuliko Simba SC, ili tupime huo ubora kwenye Ligi na kisha nafasi zao hao wachezaji kwenye National team.Ila Simba inaibiwa sana. Wachezaji wengi wabovu
Weeeee. 😂😂Mnyama mkali Simba sc tafuna hao watoto wa masau bwire.
Simba nguvu moja
Simba bingwa 2019/2020
😂😂😂😂We are going to win this game more than 4 goals
Zile za magoli ya offside.Hahahaaaa. Lol.
Kaka hapa nazisubiria kwa hamu zile points 100 mnazotupigia kelele kuwa mtazifikisha.
Nyie ambao hampo kwenye Social Media na mnapatikana uwanjani mmeshika nafasi ya ngapi?Simba ni nzuri, hatari magazetini, social media na redioni.
Uwanjani bado sana.
Mpaka muda huu bado najiuliza zile dakika 6 za nyongeza ziliongezwa kwa lengo gani??? Kwa sababu hata kama zingeongezwa dakika 200 Simba tusingeshinda sana sana tunge papaswa tu.😂😂😂😂
Afadhali, wana kelele sana.90+6'
Naaaaam...Mpira umekwishaa timu zote mbili zimetoka kwa kufungana bao moja kwa moja
Simba SC ndo walikuwa wa kwanza kuandika bao kupitia kwa Shiza Kichuya 12' huku Ruvu wakisawazisha kupitia kwa Fully Maganga 36'
FT; Simba SC 1-1 Ruvu Shooting
Hahahahaaa. Unatafuta kupopolewa hapa Mtani.Timu imejaa wazee Wawa,Nyoni
Mpaka muda huu bado najiuliza zile dakika 6 za nyongeza ziliongezwa kwa lengo gani??? Kwa sababu hata kama zingeongezwa dakika 200 Simba tusingeshinda sana sana tunge papaswa tu.
Mimi huku niliko nimeshatema mate chini...Kama siyo kuhonga marefarii na wachezaji wa timu pinzani saa hizi Mikia wangekuwa pungufu karibu pointi 18 ya walizonazo sasaTema mate chini wewe
Taarifa zakiintelijensiya zinanyetisha kwamba, jamaa bado wamebana KARANTINI eti [emoji28][emoji38][emoji23]Bila kuhonga marefa huwa hawatoboi. Kitengo Cha kuhonga marefa bado WALIKUWA hawajajichangisha
Sent using Jamii Forums mobile app
Unajua kuna muda nacheka sana kwa baadhi ya hawa mashabiki ambao hawaeleweki, uliyemquote ni group moja la WhatsApp.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Bora umekuwa mkweli aisee kiukweli timu yetu inatakiwa ifanyiwe maboresho makubwa Sana kule nyuma tupo kweupe Sana.Timu imejaa wazee Wawa,Nyoni
Mpaka muda huu bado najiuliza zile dakika 6 za nyongeza ziliongezwa kwa lengo gani??? Kwa sababu hata kama zingeongezwa dakika 200 Simba tusingeshinda sana sana tunge papaswa tu.
Aaaah wapi, nyie Utopolo hamjiwezi licha ya Simba SC hata Azam FC hamtawafikia..!Mimi huku niliko nimeshatema mate chini...Kama siyo kuhonga marefarii na wachezaji wa timu pinzani saa hizi Mikia wangekuwa pungufu karibu pointi 18 ya walizonazo sasa
Habari mkuuWanakula siyo chini ya goli tatu hao wajeda.