Leo tunawapiga Mikia fcWakuu leo ni siku nzuri sana, kwa mashabiki, na watani, wa jadi, wa mpira wa miguu, me ni mshabiki, na mpenzi, wa mnyama Simba SC.
Utabili wangu leo, ni Simba kuondoka na kikombe kutokana na timu yangu kuwa na mwendelezo mzuri wa dozi.
Na leo pia tunaenda kuwauwa Yanga.
Vipi maoni yako, Wewe kuhusu game ya Leo?
Mbwembe zooote za kumsafirisha Ntibazokiza usiku kwa Usiku anaenda kutolewa jasho na Akina Duchuuu wa Under 20🤣🤣🤣😁😁😁😁😁inatakiwa atoke huyoo
bado. bila bila. Dakika 83Dakika ya ngapi huko? Ngapi ngapi?
Mkuu ukiisha hapo kama matokeo yakiwa hivi si wanaongeza dakika 30 kabla ya Penati au ni matuta moja kwa moja?bado. bila bila. Dakika 83
Mkuu jogoo fm nnKukaa porini Ni shida nipo sehemu Radio inayoshika huku Ni Fm ya hii Wilaya....Sasa huyo mtangazaji anavotangaza looo! Unaweza vunia Radio
Ni matuta one wayMkuu ukiisha hapo kama matokeo yakiwa hivi si wanaongeza dakika 30 kabla ya Penati au ni matuta moja kwa moja?
Sema vunjaKukaa porini Ni shida nipo sehemu Radio inayoshika huku Ni Fm ya hii Wilaya....Sasa huyo mtangazaji anavotangaza looo! Unaweza vunia Radio
tulia wewe ila si ulielewaSema vunja
Hiyo vunia ndo nini
Simba leo hawaamini mpk togwa na mbege zinawakengeza
Unamsifia Onyango umemsahau TK master alivyowafanya beki zako. Ingekuwa Sarpong ni mchezaji basi gemu ingeisha ndani ya dakika 90 na Simba kufunga zaidi ya goli mojaOnyango ni Nyokooo. Ntibazokiza upara mpaka unafuka moshi
Matuta directlyMkuu ukiisha hapo kama matokeo yakiwa hivi si wanaongeza dakika 30 kabla ya Penati au ni matuta moja kwa moja?