Simba SC vs Yanga SC, Mapinduzi Cup final leo. Simba kuondoka na kikombe

Simba SC vs Yanga SC, Mapinduzi Cup final leo. Simba kuondoka na kikombe

Wakuu leo ni siku nzuri sana, kwa mashabiki, na watani, wa jadi, wa mpira wa miguu, me ni mshabiki, na mpenzi, wa mnyama Simba SC.

Utabili wangu leo, ni Simba kuondoka na kikombe kutokana na timu yangu kuwa na mwendelezo mzuri wa dozi.

Na leo pia tunaenda kuwauwa Yanga.

Vipi maoni yako, Wewe kuhusu game ya Leo?
Leo tunawapiga Mikia fc
 
Mnajifanya mnakikosi kipana,kumbe waoga na hamjiamini.Tatizo lenu mnaenda uwanjani na maneno ya Manara atawaua.
Screenshot_20210113-220401.png
 

Attachments

  • Screenshot_20210113-220424.png
    Screenshot_20210113-220424.png
    182 KB · Views: 2
hivi hawa wachezaji hua hawafundishwi somo la ku control mpira? Aren't these dudes professional footballers?
Ngoja tu nisubiri Arsenal yangu kesho
 
Kukaa porini Ni shida nipo sehemu Radio inayoshika huku Ni Fm ya hii Wilaya....Sasa huyo mtangazaji anavotangaza looo! Unaweza vunia Radio
Sema vunja

Hiyo vunia ndo nini


Simba leo hawaamini mpk togwa na mbege zinawakengeza
 
Kipa wa Yanga alistahili kwenda kukaa jukwwaani kabisa kwakua alikua Hana kazi yoyote Ila Beno aliweza kufanya kazi mzuri dhidi ya Saprong wa Yanga.
 
Time hiii ya pleshaa kinoma😆😆😆😆
 
Kwa kikosi cha Simba leo kama Yanga wameshindwa kuwafunga basi Yanga ni wazembe aisee.
 
Onyango ni Nyokooo. Ntibazokiza upara mpaka unafuka moshi
Unamsifia Onyango umemsahau TK master alivyowafanya beki zako. Ingekuwa Sarpong ni mchezaji basi gemu ingeisha ndani ya dakika 90 na Simba kufunga zaidi ya goli moja
 
Back
Top Bottom