Harrykany
JF-Expert Member
- May 10, 2019
- 619
- 668
Wakuu leo ni siku nzuri sana, kwa mashabiki na watani wa jadi wa mpira wa miguu. Mimi ni mshabiki na mpenzi wa mnyama Simba SC.
Utabiri wangu leo ni Simba kuondoka na kikombe kutokana na timu yangu kuwa na mwendelezo mzuri wa dozi.
Na leo pia tunaenda kuwauwa Yanga.
Vipi maoni yako, Wewe kuhusu game ya Leo?
Utabiri wangu leo ni Simba kuondoka na kikombe kutokana na timu yangu kuwa na mwendelezo mzuri wa dozi.
Na leo pia tunaenda kuwauwa Yanga.
Vipi maoni yako, Wewe kuhusu game ya Leo?