Simba sc vs Young Africans fc the largest derby in the whole of Africa

Wapi evidence wote wamelipa? Na usitake kuniambia fund raising activity inafanya mahudhurio ya mashemegi derby iwe chini ya 1/4! U r basically a fool! Ni kama mimi nitoe excuse ya concert ya Koffie Olomide!
 
Wapi evidence wote wamelipa? Na usitake kuniambia fund raising activity inafanya mahudhurio ya mashemegi derby iwe chini ya 1/4! U r basically a fool! Ni kama mimi nitoe excuse ya concert ya Koffie Olomide!
Unaona hizo kits, tshirt kofia n.k? Wote ambao wanazo wamelipa. Wakenya tuna options nyingi sana, sio soccer tu kuna raga, mpira wa wavu, riadha. K.m mimi huwezi ukanipata kwenye mechi za soka, labda raga. Point yangu ilikuwa uache ligi za kiboya mzee.
 
Unaona hizo kits, tshirt kofia n.k? Wote ambao wanazo wamelipa. Wakenya tuna options nyingi sana, sio soccer tu kuna raga, mpira wa wavu, riadha. K.m mimi huwezi nipata kwenye mechi za soka, labda raga. Point yangu ilikuwa uache ligi za kiboya mzee.
So when I say ur best two teams r nothing to Tanzania's u have nothing to argue! Beginning of this month's people were in droves in Moshi town to take part in the biggest marathon event in the whole of Africa i.e. Kilimanjaro Marathon!

Just before there was Busara music in zanzibar again the biggest music event in the whole of Africa!
 
Unaona hizo kits, tshirt kofia n.k? Wote ambao wanazo wamelipa. Wakenya tuna options nyingi sana, sio soccer tu kuna raga, mpira wa wavu, riadha. K.m mimi huwezi nipata kwenye mechi za soka, labda raga. Point yangu ilikuwa uache ligi za kiboya mzee.
Fool, Nimeomba evidence wote waliokimbia wamelipa hiyo gharama!
 
Unaona hizo kits, tshirt kofia n.k? Wote ambao wanazo wamelipa. Wakenya tuna options nyingi sana, sio soccer tu kuna raga, mpira wa wavu, riadha. K.m mimi huwezi nipata kwenye mechi za soka, labda raga. Point yangu ilikuwa uache ligi za kiboya mzee.
kwa hiyo fans wa Simba na Yanga wameenda uchi uwanjani?
 
Hapa mbona hakufungwa wala kufanywa chochote!
natumai Makonda na BASATA bado hawajaona hio. yaani mtoto full kujiachilia kama vile yuko ufukweni vile.... lakini sio fukwe za ldc dar. huko madem huvalia madera na buibui
 
90% ni wanawake Wanaume walienda wapi wakose Mashemeji derby?
 
natumai Makonda na BASATA bado hawajaona hio. yaani mtoto full kujiachilia kama vile yuko ufukweni vile.... lakini sio fukwe za ldc dar. huko madem huvalia madera na buibui
Wewe bwabwaja tu.
 
Nowadays Kenya football hakuna mtu ako na haja nayo,,
The most useless sport.
By 2030 itakuwa imesahaulika Kenya.
Ata waweke bure kuingia uwanja utabaki empty

The truth is u r broke as people! May be Mashemeji derby ingeitwa BBI watu wangekuja!
 
The truth is u r broke as people! May be Mashemeji derby ingeitwa BBI watu wangekuja!
RFUEA hujaa na entrance fee huwa 1000/2500.
The next three months world u20 Athletics zitakuwa kasarani ,wait uone ikijaa ata waweke ksh.2,000
Football ni inferior sport this part of East Africa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…