Simba SC vs Ze Comedy nani zaidi?

Simba SC vs Ze Comedy nani zaidi?

Babumajiwe!Hivi lile jina lenu pendwa la "utopolo fc" mna mpango wa kulisajili brela!? Utopolo fc!
 
Kuna mtu hapa kauliza Simba jana kacheza ligi gani, nimemjibu ligi yake katengeneza kikombe chake, kaleta marefa wake, mipira yake, timu tatu na kombe linatolewa JPili.

Huyu jamaa nimemuacha anacheka huku anagalagala chini sijajua anacheka kwa kitu gani?

HAYA MTOE JIBU NANI ZAIDI
Huyo si Mze Akilimali kweli kafufuka kaja kuwacheka Viluilui wa Jangwani kujilinganisha na mnyama hatari, Simba.
 
Kama wameshindwa kulipia faini ya msemaji wao milioni 5 wataweza kweli kulipia gharama ya kuleta timu toka nje ya nchi na kulipia gharama ya malazi kwa timu hizo
Mnajuta kwa hasara mnayoipata ndo mana viingilio mmeweka buku 3 ili mpunguze hasara
 
Hatuwezi kuiga ujinga
Sinba day mkaiga mkaja na mwananchi day,
Uzuri we si kiongoz wa UTOPOLO ,Ila huko utopoloni viongozi wameshaanza kuwaza watakuja vp.Na utapokea kwa furaha na mtasahau haya mnayoongea leo.
Simba Super Cup ,huu ni mwanzo na huko mbeleni litaboreshwa na hata Utopolo mtaalikwa km mtakidhi vigezo.Kwa sababu hatualiki timu ndogo ndogo au za hovyo hovyo.
 
Back
Top Bottom