Simba SC waingiza wawili kikosi Bora cha wiki CAFCC

Simba SC waingiza wawili kikosi Bora cha wiki CAFCC

Ile Team Itakayocheza NA KMC Imemwalika Rais
Wakipita Hapa Wanasonya Tu Na Kutema Mate Kando
 
Jamani kwahyo waarabu wa juzi wageni wa utopolo kikosi chao chote ni almanusura almautiiii
 
Konate ni ngumu Sana kuja Simba ndugu yangu.Media houses za ivory coast zinampamba kila siku na kumfananisha na drogba wa baadae,wenyewe wanasema ana hadhi ya kuchezea ulaya na si Africa .Kiufupi huyu dogo ni kama Kelvin John wa bongo kule kwao

Wa kuja bongo hapa ni Yule wa USGN;Adebayo
Hata mwenyewe anaonekana km anaipenda simba,na anonekana endapo ulaya kutabuma ameiweka Simba km option B
Hao ndio wanaokujaga kwa Simba,refer kwa Pape O. Sakho
 
Tubebe kwani tunaokota mkuu,kwa hiyo haturuhusiwi kuzungumzia timu yetu na wachezaji kiujumla. Watu bwana
Si ndio hapo sasa. Mimi binafsi nimeona kama jamaa ameamua kufanya ukatili tu.

Yaani watu wasiipongeze timu yao hadi pale itakapotwaa ubingwa wa Afrika ?

Nadhani hata jukwaa litakua linaboa maana kutatawala ukimya wa ajabu.

Hii ni sawa na kumkataza mtoto asifurahie kufaulu mtihani wa muhula wa kwanza wa Hesabu kidato cha pili, eti asubiri afaulu mtihani wa form four ndipo afurahi.
UKATILI
 
Si ndio hapo sasa. Mimi binafsi nimeona kama jamaa ameamua kufanya ukatili tu.

Yaani watu wasiipongeze timu yao hadi pale itakapotwaa ubingwa wa Afrika ?

Nadhani hata jukwaa litakua linaboa maana kutatawala ukimya wa ajabu.

Hii ni sawa na kumkataza mtoto asifurahie kufaulu mtihani wa muhula wa kwanza wa Hesabu kidato cha pili, eti asubiri afaulu mtihani wa form four ndipo afurahi.
UKATILI
ROHO MBAYA IKIZIDI NAYO CHANGANYA NA MAUMIVU.
 
SIMBA YATOA WAWILI KIKOSI BORA CHA WIKI CAF

Hiki Hapa Kikosi Bora cha wiki Kombe la Shirikisho Afrika:

1. Zakaria Saidi (JS Soura)
2. Karim El Eraki (Al Masry)
3. Mohammed Hussein (Simba SC)
4. Kevin Mondeko (TP Mazembe)
5. Joash Onyango (Simba)
6. Ghazi Ayadi (JS Soura)
7. Hassan Ali (Al Masry)
8. Felix Oukine (Coton Sport)
9. Karim Konate (Asec Mimosas)
10. Mohammed El Fakih (Al Ahli Tripoli)
11. Kabelo Dlamin (Orlando Pirates)

My Take
Huyu Konate aje Simba Sc tuchukue CAFCL mwakani
17 years old boy hawezi mikikimikiki na ulozi wa bongo tutamaharibia future yake.

Victorien Adebayor atosha tucheze 4 3 3.
 
Kwa timu ya ASEC Mimosas huenda Mchezaji Aziz Stephanie..! kuja Simba SC
Kuondoka kwa Kagere, Mugalu, Wawa na Morisson probably Lwanga kutafungua usajili wa wachezaji watano wa kimataifa.

Probably mbili zinaweza kuwa zimeshajazwa tayari kwa maana ya Moses Phiri na Victorien Adebayor.

Ila kwenye striking force binafsi naona Simba wangemtazama Aboubakary Nassir ili tukamilishe replacement za Morisson, Kagere na Mugalu kwa pamoja.
 
Hivi hawa shughuli ya VLADIMIR ENOCK INONGA PUTIN hawakuiona ama? Jamaa wikii hii aliupiga mwingi mnoo, kapiga TAKOLING, zikapitiliza mpaka kuwa BOROLING.
Alifanya errors kadhaa ambazo kama Berkane wangekuwa makini zingekuwa ni errors leading to a goal.
 
Hivi hawa shughuli ya VLADIMIR ENOCK INONGA PUTIN hawakuiona ama? Jamaa wikii hii aliupiga mwingi mnoo, kapiga TAKOLING, zikapitiliza mpaka kuwa BOROLING.
Alifanya errors kadhaa ambazo kama Berkane wangekuwa makini zingekuwa ni errors leading to a goal.
 
Hivi hawa shughuli ya VLADIMIR ENOCK INONGA PUTIN hawakuiona ama? Jamaa wikii hii aliupiga mwingi mnoo, kapiga TAKOLING, zikapitiliza mpaka kuwa BOROLING.
Miongoni mwa wachezaji wabovu kusajiliwa na huyu ni mmoja wao
 
Back
Top Bottom