NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,587
- 13,425
Kwahiyo simba inafanyiwa scouting na yanga?Simba wanatafuta wachezaji kwa umaarufu badala ya kutafuta wachezai wanaofit kwenye timu yao. Vijana wa Yanga wamekuwa wazuri sana kuwaongoza Simba kwenye usajiri ambao yanga wanautaka. Yanga wanasema wanataka kusajiri mchezaji fulani maarufu lakini hana sifa za ligi kuu ya Tanzania, Simba wanamvamia mchezeji huyo. Yanga huwa hawatangazi wachezaji wanaotaka kuwasajiri kwa hiyo ukishasikia wanasema tunamtaka mchezaji fulani basi ujue wanataka kuwamislead Simba wamkimbilie na wamefanikiwa sana kwa hilo.
Aaahaaaa,labda chuoni hiyo ndo ilikuwa kozi yake ya uviziajiNiliposikia Simba SC wamesajili mwamba head of scouting NALIA NGWENA niliona Simba sc wameamua kupiga hatua.
Ila nimekuja kushangaa kuona Simba SC wanavizia wachezaji Airport.
Sasa nauliza huyo mtu wa scouting aliyesajiliwa kazi yake ni nini? Na Kama kazi yake ni kuzunguka kutafuta wachezaji huko nje, hizi tetesi za kutega uwanja wa ndege ni za nini?
Simba SC wanajitekenya na kucheka wenyewe.
Simba, chama kubwa la wehuNiliposikia Simba SC wamesajili mwamba head of scouting NALIA NGWENA niliona Simba sc wameamua kupiga hatua.
Ila nimekuja kushangaa kuona Simba SC wanavizia wachezaji Airport.
Sasa nauliza huyo mtu wa scouting aliyesajiliwa kazi yake ni nini? Na Kama kazi yake ni kuzunguka kutafuta wachezaji huko nje, hizi tetesi za kutega uwanja wa ndege ni za nini?
Simba SC wanajitekenya na kucheka wenyewe.
Kibabage kwani kaja na ndege?Kwani simba wamemsajili kibabage,unless huna cha kusema,umeamua kutoa shutuma tu
Angalia tarehe hiyo
Kumbe ya Mwaka Jana mwezi wa sita.
Hao jamaa akili hawana,sasa hiyo post inawaumbua maana Yanga walikua na interest nae msimu uliopita,wao wakaona wamuwahi msimu huu nahisi kabla ya hapo walikua hata hawamjui
NAKAZIA [emoji123]Simba wanatafuta wachezaji kwa umaarufu badala ya kutafuta wachezai wanaofit kwenye timu yao. Vijana wa Yanga wamekuwa wazuri sana kuwaongoza Simba kwenye usajiri ambao yanga wanautaka. Yanga wanasema wanataka kusajiri mchezaji fulani maarufu lakini hana sifa za ligi kuu ya Tanzania, Simba wanamvamia mchezeji huyo. Yanga huwa hawatangazi wachezaji wanaotaka kuwasajiri kwa hiyo ukishasikia wanasema tunamtaka mchezaji fulani basi ujue wanataka kuwamislead Simba wamkimbilie na wamefanikiwa sana kwa hilo.
Kweli kabisa [emoji16]Simba, chama kubwa la wehu