NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,587
- 13,425
Niliposikia Simba SC wamesajili mwamba head of scouting NALIA NGWENA niliona Simba sc wameamua kupiga hatua.
Ila nimekuja kushangaa kuona Simba SC wanavizia wachezaji Airport.
Sasa nauliza huyo mtu wa scouting aliyesajiliwa kazi yake ni nini? Na Kama kazi yake ni kuzunguka kutafuta wachezaji huko nje, hizi tetesi za kutega uwanja wa ndege ni za nini?
Simba SC wanajitekenya na kucheka wenyewe.
Ila nimekuja kushangaa kuona Simba SC wanavizia wachezaji Airport.
Sasa nauliza huyo mtu wa scouting aliyesajiliwa kazi yake ni nini? Na Kama kazi yake ni kuzunguka kutafuta wachezaji huko nje, hizi tetesi za kutega uwanja wa ndege ni za nini?
Simba SC wanajitekenya na kucheka wenyewe.