Natoa kongolee kwa wachezaji wa Simba sc kwa uwezo mdogo waliouonesha.
Lakini nitakua mtu wa mwisho kuamini kuamini kuwa Simba sc itafika robo kwenye michuano ya CAF CHAMPIONS LEAGUE.
japo ni ukweli mchungu lakini watu wa mpira wataelewa nini namaanisha hii sare ya tatu Sasa kwa Simba SC, toka iingie kwenye michuano ya kimataifa imekua ngumu sana kupata matokeo.
Kocha wa Power dynamoo alisema "Simba sc ijiangalie kwa mpira wanavyocheza katika michuano ya CAF CHAMPIONS LEAGUE"
Alizungumza kiufundi, wenye akili kubwa kama
NALIA NGWENA tulimuelewa Nini ana maanisha.
Ikumbukwe mpaka Sasa Simba sc imeruhusu magoli 5 katika michuano ya kimataifa na ime droo/sare mechi tatu katika michuano hii ya kimataifa.
Kama litafumbiwa macho hili tatizo Basi Mashabiki wa Simba sc wajiandae kisaikolojia na sitegemei kuona simba sc ikifika robo kwa mwendo Sare na kuruhusu magoli katika kila mechi.