Simba SC wanapaswa kutafuta mwarobaini wa kuondoa sare kwenye mechi za kimataifa

Simba SC wanapaswa kutafuta mwarobaini wa kuondoa sare kwenye mechi za kimataifa

TATIZO LA SIMBA NI USAJILI TU.

1. GOLIKIPA.
2. KIUNGO MKABAJI
3. NO 10. MBADALA WA SIADO AU CHAMA.

Bila kurekebisha hapa.
Watateseka miaka 100
 
"MASHABIKI WA SIMBA HAWANA AKILI NI MAMBUMBU"

BY RAGE.
FB_IMG_1682646137959 (3).jpg
 
Tangu jana mpaka leo huu ni uzi wako karibia wa 20 kuhusu Simba, tuweke utani pembeni hivi hunaga mambo mengine ya kimaisha tofauti na simba ?
Kuna mwenzie ajiitae Labani og ,basi wao hawana cha kuandika zaidi ya kuiongelea Simba tu! . Na inawezekana ni mtu mmoja mwenye ID tofauti!
 
Natoa kongolee kwa wachezaji wa Simba sc kwa uwezo mdogo waliouonesha.

Lakini nitakua mtu wa mwisho kuamini kuamini kuwa Simba sc itafika robo kwenye michuano ya CAF CHAMPIONS LEAGUE.

japo ni ukweli mchungu lakini watu wa mpira wataelewa nini namaanisha hii sare ya tatu Sasa kwa Simba SC, toka iingie kwenye michuano ya kimataifa imekua ngumu sana kupata matokeo.

Kocha wa Power dynamoo alisema "Simba sc ijiangalie kwa mpira wanavyocheza katika michuano ya CAF CHAMPIONS LEAGUE"

Alizungumza kiufundi, wenye akili kubwa kama NALIA NGWENA tulimuelewa Nini ana maanisha.

Ikumbukwe mpaka Sasa Simba sc imeruhusu magoli 5 katika michuano ya kimataifa na ime droo/sare mechi tatu katika michuano hii ya kimataifa.

Kama litafumbiwa macho hili tatizo Basi Mashabiki wa Simba sc wajiandae kisaikolojia na sitegemei kuona simba sc ikifika robo kwa mwendo Sare na kuruhusu magoli katika kila mechi.
Unaongea jambo la msingi Sana japo wapo watakao kurushia mawe .....ila ukwl usemwe kuna vitu bado havijakaa sawa kwenye kikosi cha simba hivyo wakaze buti
 
Natoa kongolee kwa wachezaji wa Simba sc kwa uwezo mdogo waliouonesha.

Lakini nitakua mtu wa mwisho kuamini kuamini kuwa Simba sc itafika robo kwenye michuano ya CAF CHAMPIONS LEAGUE.

japo ni ukweli mchungu lakini watu wa mpira wataelewa nini namaanisha hii sare ya tatu Sasa kwa Simba SC, toka iingie kwenye michuano ya kimataifa imekua ngumu sana kupata matokeo.

Kocha wa Power dynamoo alisema "Simba sc ijiangalie kwa mpira wanavyocheza katika michuano ya CAF CHAMPIONS LEAGUE"

Alizungumza kiufundi, wenye akili kubwa kama NALIA NGWENA tulimuelewa Nini ana maanisha.

Ikumbukwe mpaka Sasa Simba sc imeruhusu magoli 5 katika michuano ya kimataifa na ime droo/sare mechi tatu katika michuano hii ya kimataifa.

Kama litafumbiwa macho hili tatizo Basi Mashabiki wa Simba sc wajiandae kisaikolojia na sitegemei kuona simba sc ikifika robo kwa mwendo Sare na kuruhusu magoli katika kila mechi.

Tusipangiane asee, kila mtu abakie na timu yake. Wewe kila siku kuizungumzia Simba inakuuma nini?

Kila mtu apambane na hali yake huko alipo. Ila elewa tu Simba ni timu kubwa sana.
 
Natoa kongolee kwa wachezaji wa Simba sc kwa uwezo mdogo waliouonesha.

Lakini nitakua mtu wa mwisho kuamini kuamini kuwa Simba sc itafika robo kwenye michuano ya CAF CHAMPIONS LEAGUE.

japo ni ukweli mchungu lakini watu wa mpira wataelewa nini namaanisha hii sare ya tatu Sasa kwa Simba SC, toka iingie kwenye michuano ya kimataifa imekua ngumu sana kupata matokeo.

Kocha wa Power dynamoo alisema "Simba sc ijiangalie kwa mpira wanavyocheza katika michuano ya CAF CHAMPIONS LEAGUE"

Alizungumza kiufundi, wenye akili kubwa kama NALIA NGWENA tulimuelewa Nini ana maanisha.

Ikumbukwe mpaka Sasa Simba sc imeruhusu magoli 5 katika michuano ya kimataifa na ime droo/sare mechi tatu katika michuano hii ya kimataifa.

Kama litafumbiwa macho hili tatizo Basi Mashabiki wa Simba sc wajiandae kisaikolojia na sitegemei kuona simba sc ikifika robo kwa mwendo Sare na kuruhusu magoli katika kila mechi.
Mchawi na mtaalam wa kilio cha ngwewna!! ngwena!! ngwena!! ngwena!! tuambie kwanza utabiri wako wa simba kufungwa 6-0 ulifia wapi? Tayari Uto wamefikia kilele cha mafanikio kwenye caf champions league kwa kufika hatua ya makundi!! Hayo ndiyo malengo makubwa ya "waqnanchi". Kinachozidi hapo ni bahati isiyotarajiwa!!
 
Mchawi na mtaalam wa kilio cha ngwewna!! ngwena!! ngwena!! ngwena!! tuambie kwanza utabiri wako wa simba kufungwa 6-0 ulifia wapi? Tayari Uto wamefikia kilele cha mafanikio kwenye caf champions league kwa kufika hatua ya makundi!! Hayo ndiyo malengo makubwa ya "waqnanchi". Kinachozidi hapo ni bahati isiyotarajiwa!!
NIONESHE SCREEN SHOT IKISEMA HIVYO.
 
Tusipangiane asee, kila mtu abakie na timu yake. Wewe kila siku kuizungumzia Simba inakuuma nini?

Kila mtu apambane na hali yake huko alipo. Ila elewa tu Simba ni timu kubwa sana.
ITAENDELEA KUDROO MPAKA MUHAME TIMU.
 
Back
Top Bottom