CAPO DELGADO
JF-Expert Member
- Aug 31, 2020
- 8,542
- 18,340
"MASHABIKI WA SIMBA HAWANA AKILI NI MAMBUMBU"
BY RAGE.
Kuna mwenzie ajiitae Labani og ,basi wao hawana cha kuandika zaidi ya kuiongelea Simba tu! . Na inawezekana ni mtu mmoja mwenye ID tofauti!Tangu jana mpaka leo huu ni uzi wako karibia wa 20 kuhusu Simba, tuweke utani pembeni hivi hunaga mambo mengine ya kimaisha tofauti na simba ?
Unaongea jambo la msingi Sana japo wapo watakao kurushia mawe .....ila ukwl usemwe kuna vitu bado havijakaa sawa kwenye kikosi cha simba hivyo wakaze butiNatoa kongolee kwa wachezaji wa Simba sc kwa uwezo mdogo waliouonesha.
Lakini nitakua mtu wa mwisho kuamini kuamini kuwa Simba sc itafika robo kwenye michuano ya CAF CHAMPIONS LEAGUE.
japo ni ukweli mchungu lakini watu wa mpira wataelewa nini namaanisha hii sare ya tatu Sasa kwa Simba SC, toka iingie kwenye michuano ya kimataifa imekua ngumu sana kupata matokeo.
Kocha wa Power dynamoo alisema "Simba sc ijiangalie kwa mpira wanavyocheza katika michuano ya CAF CHAMPIONS LEAGUE"
Alizungumza kiufundi, wenye akili kubwa kama NALIA NGWENA tulimuelewa Nini ana maanisha.
Ikumbukwe mpaka Sasa Simba sc imeruhusu magoli 5 katika michuano ya kimataifa na ime droo/sare mechi tatu katika michuano hii ya kimataifa.
Kama litafumbiwa macho hili tatizo Basi Mashabiki wa Simba sc wajiandae kisaikolojia na sitegemei kuona simba sc ikifika robo kwa mwendo Sare na kuruhusu magoli katika kila mechi.
Sawa mkuu. Tunawasubiri. Wako kuchagua mziki wa kuingilia.NGOJA WAJE WENYE TIMU YAO.
Kwani shida ipo wapi hutaki watu watoe maoni?Mwenye hii platform angetoza 5000 kwa kila uzi mmoja, JF ingejaa madini tupu. Huu upumbavu usinge kuwepo
Mashabiki wa yanga ni wapumbavu"MASHABIKI WA SIMBA HAWANA AKILI NI MAMBUMBU"
BY RAGE.
Natoa kongolee kwa wachezaji wa Simba sc kwa uwezo mdogo waliouonesha.
Lakini nitakua mtu wa mwisho kuamini kuamini kuwa Simba sc itafika robo kwenye michuano ya CAF CHAMPIONS LEAGUE.
japo ni ukweli mchungu lakini watu wa mpira wataelewa nini namaanisha hii sare ya tatu Sasa kwa Simba SC, toka iingie kwenye michuano ya kimataifa imekua ngumu sana kupata matokeo.
Kocha wa Power dynamoo alisema "Simba sc ijiangalie kwa mpira wanavyocheza katika michuano ya CAF CHAMPIONS LEAGUE"
Alizungumza kiufundi, wenye akili kubwa kama NALIA NGWENA tulimuelewa Nini ana maanisha.
Ikumbukwe mpaka Sasa Simba sc imeruhusu magoli 5 katika michuano ya kimataifa na ime droo/sare mechi tatu katika michuano hii ya kimataifa.
Kama litafumbiwa macho hili tatizo Basi Mashabiki wa Simba sc wajiandae kisaikolojia na sitegemei kuona simba sc ikifika robo kwa mwendo Sare na kuruhusu magoli katika kila mechi.
Mchawi na mtaalam wa kilio cha ngwewna!! ngwena!! ngwena!! ngwena!! tuambie kwanza utabiri wako wa simba kufungwa 6-0 ulifia wapi? Tayari Uto wamefikia kilele cha mafanikio kwenye caf champions league kwa kufika hatua ya makundi!! Hayo ndiyo malengo makubwa ya "waqnanchi". Kinachozidi hapo ni bahati isiyotarajiwa!!Natoa kongolee kwa wachezaji wa Simba sc kwa uwezo mdogo waliouonesha.
Lakini nitakua mtu wa mwisho kuamini kuamini kuwa Simba sc itafika robo kwenye michuano ya CAF CHAMPIONS LEAGUE.
japo ni ukweli mchungu lakini watu wa mpira wataelewa nini namaanisha hii sare ya tatu Sasa kwa Simba SC, toka iingie kwenye michuano ya kimataifa imekua ngumu sana kupata matokeo.
Kocha wa Power dynamoo alisema "Simba sc ijiangalie kwa mpira wanavyocheza katika michuano ya CAF CHAMPIONS LEAGUE"
Alizungumza kiufundi, wenye akili kubwa kama NALIA NGWENA tulimuelewa Nini ana maanisha.
Ikumbukwe mpaka Sasa Simba sc imeruhusu magoli 5 katika michuano ya kimataifa na ime droo/sare mechi tatu katika michuano hii ya kimataifa.
Kama litafumbiwa macho hili tatizo Basi Mashabiki wa Simba sc wajiandae kisaikolojia na sitegemei kuona simba sc ikifika robo kwa mwendo Sare na kuruhusu magoli katika kila mechi.
NIONESHE SCREEN SHOT IKISEMA HIVYO.Mchawi na mtaalam wa kilio cha ngwewna!! ngwena!! ngwena!! ngwena!! tuambie kwanza utabiri wako wa simba kufungwa 6-0 ulifia wapi? Tayari Uto wamefikia kilele cha mafanikio kwenye caf champions league kwa kufika hatua ya makundi!! Hayo ndiyo malengo makubwa ya "waqnanchi". Kinachozidi hapo ni bahati isiyotarajiwa!!
WANAENDELEA KUDROO TU.Tatu Malogo ndie suluisho pekee na lakudumu dhidi ya sare za Simba.
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
ITAENDELEA KUDROO MPAKA MUHAME TIMU.Tusipangiane asee, kila mtu abakie na timu yake. Wewe kila siku kuizungumzia Simba inakuuma nini?
Kila mtu apambane na hali yake huko alipo. Ila elewa tu Simba ni timu kubwa sana.
NASIKIA WANAANDAMANA HUKO.Sawa mkuu. Tunawasubiri. Wako kuchagua mziki wa kuingilia.
Ndugu yangu umepitelea wapi??
KWELI MKUU MNAENDELEA KUTESEKA TU.TATIZO LA SIMBA NI USAJILI TU.
1. GOLIKIPA.
2. KIUNGO MKABAJI
3. NO 10. MBADALA WA SIADO AU CHAMA.
Bila kurekebisha hapa.
Watateseka miaka 100
KWA MWENDO HUU LABDA WAKATOBOE PUTO.Wenye akili nyingi tumeelewa kuwa makolo makundi hawatoboi