Simba SC wanapaswa kutafuta mwarobaini wa kuondoa sare kwenye mechi za kimataifa

Simba SC wanapaswa kutafuta mwarobaini wa kuondoa sare kwenye mechi za kimataifa

Natoa kongolee kwa wachezaji wa Simba sc kwa uwezo mdogo waliouonesha.

Lakini nitakua mtu wa mwisho kuamini kuamini kuwa Simba sc itafika robo kwenye michuano ya CAF CHAMPIONS LEAGUE.

japo ni ukweli mchungu lakini watu wa mpira wataelewa nini namaanisha hii sare ya tatu Sasa kwa Simba SC, toka iingie kwenye michuano ya kimataifa imekua ngumu sana kupata matokeo.

Kocha wa Power dynamoo alisema "Simba sc ijiangalie kwa mpira wanavyocheza katika michuano ya CAF CHAMPIONS LEAGUE"

Alizungumza kiufundi, wenye akili kubwa kama NALIA NGWENA tulimuelewa Nini ana maanisha.

Ikumbukwe mpaka Sasa Simba sc imeruhusu magoli 5 katika michuano ya kimataifa na ime droo/sare mechi tatu katika michuano hii ya kimataifa.

Kama litafumbiwa macho hili tatizo Basi Mashabiki wa Simba sc wajiandae kisaikolojia na sitegemei kuona simba sc ikifika robo kwa mwendo Sare na kuruhusu magoli katika kila mechi.
Kweli kabisa....
 
Natoa kongolee kwa wachezaji wa Simba sc kwa uwezo mdogo waliouonesha.

Lakini nitakua mtu wa mwisho kuamini kuamini kuwa Simba sc itafika robo kwenye michuano ya CAF CHAMPIONS LEAGUE.

japo ni ukweli mchungu lakini watu wa mpira wataelewa nini namaanisha hii sare ya tatu Sasa kwa Simba SC, toka iingie kwenye michuano ya kimataifa imekua ngumu sana kupata matokeo.

Kocha wa Power dynamoo alisema "Simba sc ijiangalie kwa mpira wanavyocheza katika michuano ya CAF CHAMPIONS LEAGUE"

Alizungumza kiufundi, wenye akili kubwa kama NALIA NGWENA tulimuelewa Nini ana maanisha.

Ikumbukwe mpaka Sasa Simba sc imeruhusu magoli 5 katika michuano ya kimataifa na ime droo/sare mechi tatu katika michuano hii ya kimataifa.

Kama litafumbiwa macho hili tatizo Basi Mashabiki wa Simba sc wajiandae kisaikolojia na sitegemei kuona simba sc ikifika robo kwa mwendo Sare na kuruhusu magoli katika kila mechi.
Hata mwaka Jana kwenye Mashindano haya ya Mabingwa ulikuwa wa mwisho kuamini,lakini Simba iliingia Quarter Finals
 
Sare 2, na kufungwa 1 na sare 1 bora nn?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kama timu yako ina pointi nyingi nyoosha mkono juu😁😁😁
Kwamba unaweza kugawa na kikabaki kitu
 
Natoa kongolee kwa wachezaji wa Simba sc kwa uwezo mdogo waliouonesha.

Lakini nitakua mtu wa mwisho kuamini kuamini kuwa Simba sc itafika robo kwenye michuano ya CAF CHAMPIONS LEAGUE.

japo ni ukweli mchungu lakini watu wa mpira wataelewa nini namaanisha hii sare ya tatu Sasa kwa Simba SC, toka iingie kwenye michuano ya kimataifa imekua ngumu sana kupata matokeo.

Kocha wa Power dynamoo alisema "Simba sc ijiangalie kwa mpira wanavyocheza katika michuano ya CAF CHAMPIONS LEAGUE"

Alizungumza kiufundi, wenye akili kubwa kama NALIA NGWENA tulimuelewa Nini ana maanisha.

Ikumbukwe mpaka Sasa Simba sc imeruhusu magoli 5 katika michuano ya kimataifa na ime droo/sare mechi tatu katika michuano hii ya kimataifa.

Kama litafumbiwa macho hili tatizo Basi Mashabiki wa Simba sc wajiandae kisaikolojia na sitegemei kuona simba sc ikifika robo kwa mwendo Sare na kuruhusu magoli katika kila mechi.
Uto namba moja ni heri ulie na uto yako!! Mkia mlioukalia 1998 hadi leo unawahusu kwenye makundi!! Mmebakiza kuvuan pointi 1 tu kwenye mechi nne zilizobaki!!
 
Back
Top Bottom