Simba SC washindwa kumpa "Thank you" Sawadogo kutokana na masharti ya mkataba

Hata huu ni uvumi kama unaokataa watu waiamini wa kuhusu Yanga kufungiwa
 
 
mkataba wa bandari DPW na huu wasimba na sawadogo

Tofauti yake nikwamba ,uwanja wa mahakama TU kwenye maamuzi
 
Na kwataarifa tu mtoa mada Leo sio tumevunja tu mkataba na Sawadogo bali tumemalizana nae kwa kila kitu ikiwemo kumlipa stahiki zake zote kama mkataba wake unavyotaka
Simba sio timu yakuhangaishwa na kesi Fifa kisa madeni kwa waliowahi kuwa waajiri wake kama klabu moja hapa nchini inayoshindwa kumaliza deni la 340mil kwa aliyekuwa kocha wao kiasi cha kumfanya mwalimu ajute kufanya nao kazi kwa usumbufu anaoupata
 
Mmeshamlipa yule kocha?
 
Kwa hiyo wamempa m.700 siyo? Wabongo huokoteza vitu na kuandika tu
 
AIBU YAKO UPUNGUZE ULOPOLOPO DOMO LIMEKUPONZA MCHENZI WEWE.......


MJINGA MMOJA HIVI
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji23][emoji23][emoji23]
Mazuzu bana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…