Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 32,603
- 62,269
Mzima kabisa sijui wewe...Sawa kabisa, mzima lakini..?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzima kabisa sijui wewe...Sawa kabisa, mzima lakini..?
Bahati mbaya sina muda wa kwenda taratibu maana unauliza maswali ambayo majibu yake yako wazi. Kwa nini usitoe hoja yako moja kwa moja ukajibiwa badala ya kuzungukazunguka?Twende taratibu boss. Tumekubaliana pesa ya mwekezaji ni sehemu ya vyanzo vikuu vya mapato.
Sasa twende kwenye swali la pili, mishahara ya wafanyakazi ambayo ndo msingi wa hoja yetu, ni matumizi ya msingi au matumizi ya ziada?
Tatizo ni unaandika mambo mengi ndo maana nakupunguza ili nikuelewe.Bahati mbaya sina muda wa kwenda taratibu maana unauliza maswali ambayo majibu yake yako wazi. Kwa nini usitoe hoja yako moja kwa moja ukajibiwa badala ya kuzungukazunguka?
Naandika mengi ili nicover maswali yako yote ya nyuma na yale yajayo ili tumalizane maana naona unazunguka mno. Napenda kunyookaTatizo ni unaandika mambo mengi ndo maana nakupunguza ili nikuelewe.
Nia inaweza kuwa nzuri ila matokeo yakawa yasiyo na maana. Yaani ukajikuta unaelezea mambo mengi ambayo yanavuruga machache ambayo yangeeleweka kirahisi iwapo yanajibu swali husika.Naandika mengi ili nicover maswali yako yote ya nyuma na yale yajayo ili tumalizane maana naona unazunguka mno. Napenda kunyooka
Tutaendelea kuzunguka hapo hapo ila cha msingi mshahara wa kocha siyo "gharama za ziada" maana ni moja ya gharama za msingi za klabu ya mpira. Pesa hiyo inabidi itoke ndani ya bajeti ya klabu na si kutoka kwa mwekezaji au mtu wa pembeni. Kama mshahara wa Benchikha ni milioni 80 unaokuja na kocha msaidizi na kocha wa viungo hiyo si pesa ya kutisha kwa klabu inayotaka kuchukua ubingwa wa Afrika. Tabia ya watu binafsi kulipia mishahara au pesa za uhamisho za wachezaji na makocha ndiyo imekuwa moja ya misingi ya migogoro na mivurugano katika timu maana anayelipa anaendelea kuwa na ushawishi kwa mtu huyo.Nia inaweza kuwa nzuri ila matokeo yakawa yasiyo na maana. Yaani ukajikuta unaelezea mambo mengi ambayo yanavuruga machache ambayo yangeeleweka kirahisi. Nilitaka kukuelewa kwanini ushangae mm kuuliza iwapo Mo yupo tayari kulipa gharama za ziada za mshahara wa Kocha ila mpaka sasa hatujaelewana sababu unanijibu maswali ambayo sijauliza ila unahisi nitauliza.
Hapa sasa nimekuelewa, kuwa kuna ilivyo na inavyopaswa kuwa. Ilivyo ni kuwa Mo anasauti kwenye usajili na mishahara ila inavyopaswa kuwa ni namna ulivyoeleza. Nimekuelewa sahihi?Tutaendelea kuzunguka hapo hapo ila cha msingi mshahara wa kocha siyo "gharama za ziada" maana ni moja ya gharama za msingi za klabu ya mpira. Pesa hiyo inabidi itoke ndani ya bajeti ya klabu na si kutoka kwa mwekezaji au mtu wa pembeni. Kama mshahara wa Benchikha ni milioni 80 unaokuja na kocha msaidizi na kocha wa viungo hiyo si pesa ya kutisha kwa klabu inayotaka kuchukua ubingwa wa Afrika. Tabia ya watu binafsi kulipia mishahara au pesa za uhamisho za wachezaji na makocha ndiyo imekuwa moja ya misingi ya migogoro na mivurugano katika timu maana anayelipa anaendelea kuwa na ushawishi kwa mtu huyo.
Ngoja niishie hapo usije sema naongea mambo mengi.
Hata hapo juu nilisema "Kama Mo au viongozi wanataja malipo anayotoa Mo mfano ya matangazo ya kwenye jezi kama pesa iliyomlipa Benchikha au usajili wa wachezaji hapo kuna udanganyifu na ulaghai unafanyika"Hapa sasa nimekuelewa, kuwa kuna ilivyo na inavyopaswa kuwa. Ilivyo ni kuwa Mo anasauti kwenye usajili na mishahara ila inavyopaswa kuwa ni namna ulivyoeleza. Nimekuelewa sahihi?
Me mzima, nilikuwa nakusalimia tu, nimekumiss kiukweli.Mzima kabisa sijui wewe...
kuna mambo yanakera sana,kiongozi anatenda tofaut na kaul zake,hivi huwa kuna haja gan kila msimu kusajili wacheza 5+ kwa jerojero?utopolo wanatusimanga hovyo huku mtaani hapakalikWeka limit ya hisia, hasira za kiwango cha kufikiria kuua usiruhusu, si salama kwa afya ya akili. Unaitwa mchezo wa mpira wa miguu na wewe ni shabiki.
Ni kweli hakukaliki.kuna mambo yanakera sana,kiongozi anatenda tofaut na kaul zake,hivi huwa kuna haja gan kila msimu kusajili wacheza 5+ kwa jerojero?utopolo wanatusimanga hovyo huku mtaani hapakalik
Asante mtani...Me mzima, nilikuwa nakusalimia tu, nimekumiss kiukweli.
😂🤣😁😁😁😁😁😁😁😁Asante mtani...
Tuna hali mbaya kwa sasa msipotuona humu mtuelewe tuu..kuna sisi wabishi mpaka maneno yametuishia...
Kwema mtani wangu upo ok kweli 😂😁Vincenzo Jr kwema mtani...naona unafurahi tuu...