nyakubonga
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 5,960
- 9,978
Pale unapokosa wa kumlaumu kutokana na makosa yako mwenyewe!
Kocha wa viungo amekosea nini?
Kocha wa viungo amekosea nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo kocha wa viungo hakuletwa na Gomez alikuwepo tangu zama za Patrick aussemsKocha mkuu huwa anakuja na timu yake, mara nyingi huja na mtaalamu wa viungo, kocha wa makipa, mtaalamu wa saikolojia n.k
Hivyo kocha mkuu akiachia ngazi ni wazi hata jopo lake litaondoka tu...
Kauza bunduki alafu kanunua rungu lakini aondoke wakati ndio Mwekezaji!!..Hebu soma ulicho andikaBiashara za wahindi ni uchizi uliokithiri, Kanjibai kauza bunduki kanunua rungu afu anataka matokeo yale yale. Kama kuna watu walipaswa kuanza kuwajibika hapo Simba, alipaswa anze Mwamedi, na kademu kake kafuate.
Kocha alizingua tukubali, Mwamedi hana tatizoBiashara za wahindi ni uchizi uliokithiri, Kanjibai kauza bunduki kanunua rungu afu anataka matokeo yale yale. Kama kuna watu walipaswa kuanza kuwajibika hapo Simba, alipaswa anze Mwamedi, na kademu kake kafuate.
Iko sawa, kama uwekezaji wake haueleweki aondoke, kama ni hisa si zinauzwa? nadhani ni wewe usome tena ulichokiandika.Kauza bunduki alafu kanunua rungu lakini aondoke wakati ndio Mwekezaji!!..Hebu soma ulicho andika
Nimemsikia Ibrahim masud maestro akidai "huyo kocha wa viungo na magolikipa pia walikosa vigezo (sifa/ elimu) na mechi yao ya mwisho kuruhusiwa kuwepo kwenye benchi ni ile ya Dodoma jiji" .Ila kwa kocha ya viungo na makipa nimeumia kidogo.
Watanzania Mnajifanya mnajua mambo kumbe takataka kabisaIko sawa, kama uwekezaji wake haueleweki aondoke, kama ni hisa za zinauzwa? nadhani ni wewe usome tena ulichokiandika.
Na wewe ndio mkuu wa hizo takataka.Watanzania Mnajifanya mnajua mambo kumbe takataka kabisa
Nilitegemea Hitimana awe wa 2 kinyume chake kaomdolewa asiyehusika, kocha wa viungo???!!!Kwa kauli aliyoitoa ni Mo Dewji baada ya simba kufungwa nilijua tu Gomes hawezi kupona
Nakumbuka kabla hajawa muwekezaji simba alitoa kauli kama hiyo Omog ambaye kwa sasa ni kocha wa Mtibwa Sugar nae akafungasha
Bado Ole Guna Sosha sasa ili niwe na amani ya moyo.
View attachment 1987249
Yeye ni mtunisia na Nabi ni mtunisia huoni ndio alikuwa lango la GSM?Kocha wa viungo sijajua shida yake nini
Jamaa kaweka 20 B hata investment haijaanza officially wewe ambae hujui Una kula nini unajua Uwekezaji hauna maana Yani wewe ni takataka pro maxNa wewe ndio mkuu wa hizo takataka.