Simba SC yaanzia kileleni ligi kuu, yairarua Ruvu shooting 7-0

Sijaelewa hivi rais na makamu wanaangalia gemu?
 
Historia ni hiyo hiyo kila mwanzo wa msimu. Simba na huanza na moto wa mabua au baiskeli ya udongo.
Sikuamimi HT goli tano zikiwemo za offside dhahiri. Ikabidi niondoke uwanjani. Hii kweli ni Ruvu iliyocheza na Yanga Chamazi?

Hongereni matopeni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…