Simba SC yaanzia kileleni ligi kuu, yairarua Ruvu shooting 7-0

Simba SC yaanzia kileleni ligi kuu, yairarua Ruvu shooting 7-0

Historia ni hiyo hiyo kila mwanzo wa msimu. Simba na huanza na moto wa mabua au baiskeli ya udongo.
Sikuamimi HT goli tano zikiwemo za offside dhahiri. Ikabidi niondoke uwanjani. Hii kweli ni Ruvu iliyocheza na Yanga Chamazi?

Hongereni matopeni
Wewe Mhenga pole
 
Historia ni hiyo hiyo kila mwanzo wa msimu. Simba na huanza na moto wa mabua au baiskeli ya udongo.
Sikuamimi HT goli tano zikiwemo za offside dhahiri. Ikabidi niondoke uwanjani. Hii kweli ni Ruvu iliyocheza na Yanga Chamazi?

Hongereni matopeni
dah
 
Historia ni hiyo hiyo kila mwanzo wa msimu. Simba na huanza na moto wa mabua au baiskeli ya udongo.
Sikuamimi HT goli tano zikiwemo za offside dhahiri. Ikabidi niondoke uwanjani. Hii kweli ni Ruvu iliyocheza na Yanga Chamazi?

Hongereni matopeni
Sasa unakimbia wapi? Tulia uone kandanda la kimataifa.... Uhenga dawa ati

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dah, mnyamaaaaaaaaaa!
Alafu ndo gia namba moja! Nazionea huruma timu zingine. Simba ina vikosi vitatu vyote vikali!
 
Back
Top Bottom