Simba Sc yafunika vigogo wenzie ugenini

Simba Sc yafunika vigogo wenzie ugenini


Kama mechi za round ya kwanza ni timu 3 tu zilizopata matokeo ugenini. Kama hujui nakujuza kwamba timu zilizocheza ugenini ndio timu bora kuliko wenyeji, ndio maana miongoni mwao timu 10 zimeanzia hazikucheza preliminary stage.

Katika timu hizo Simba Sc imefunika zote ikifuatiwa na Raja Casablanca na Zamaleck.

Simba ilitumia dakika 5 tu kumaliza mchezo na kutupia chap chap goli 2, huku Yanga ilicheza dakika zaidi ya 180 hawakupata hata on-target
Ukichaa uwa unaanza taratibu kupanda kichwani baada ya kuvutia chooni cha arusha kwa mda mrefu, wenzako wamekwenda ugenini kukutana na wanaume wenzao wewe unajitapa baada ya kukutana na majimaji iliyochangamka!!! Hii timu ata ingekutana na timu za Somalia isingetoboa ni dhaifu kuliko maelezo
 
Back
Top Bottom