Singasinga
JF-Expert Member
- Aug 27, 2011
- 2,711
- 3,279
Uchawi ni matendo
Utumboo
Matendo ya wana Simba ndio uchawi wenyewe. Mnaiba simu!!! Pambafu kabesaUchawi ni matendo
Haugawiwi bure, halafu uukute kwenye ndizi Sasa, kitu Cha Nazi... Lazima ujilambeUtumboo
Kuna watu wanajiona Simba kwa vile wana sharubu, ukifungua kinywa, ni kibogoyoBujibuji anabubujika povu😂
Utumbo wa kitimoto hakuna mfanoweHaugawiwi bure, halafu uukute kwenye ndizi Sasa, kitu Cha Nazi... Lazima ujilambe
Wewe ni hasara tupu kwenye hili taifa.
Manyani na jamii zake wataigongea like hii post yako mpaka uombe poo...
Utakuta mtu kama huyu naye anategemewa
Sio na wazazi wake tu^_^ ila anategemewa na jamii nzimaUtakuta mtu kama huyu naye anategemewa
Ndio.. nategemewa na Yesu..... Niwarudishe walio potea kundini.Utakuta mtu kama huyu naye anategemewa tv
Kama suala ni kupambana tu hata Singida alipambana lakini unyonge ukamzidi.Simba ni ya kimataifa zaidi.wakati utopolo wakinga'ng'aniza kupambana na Simba.
Simba kama Simba inapambana na kina Alhaly,Esperence,Enyimba,Mazembe n,k.