Simba SC yaibuka kidedea kura za CAF

Singasinga

JF-Expert Member
Joined
Aug 27, 2011
Posts
2,711
Reaction score
3,279
Katika ukurasa wao rasmi wa twitter

Shirikisho la Mpira Afrika (CAF) Waliendesha zoezi la kura kujua ipi ni team giant inayovaa jezi nyekundu kwenye Bara hili la Africa.

Matokeo yametolewa na Klabu ya Simba imeibuka kidedea kwa kupigiwa kura nyingi zaidi.


 
Uchawi ni matendo
 


Bujibuji anabubujika povu😂
 
Wewe ni hasara tupu kwenye hili taifa.
 

ushubwada kabisa [emoji2955]
 
Manyani na jamii zake wataigongea like hii post yako mpaka uombe poo...

Hapa ni kama umeyarushia ndizi mbivu
 
Utakuta mtu kama huyu naye anategemewa
 
Simba ni ya kimataifa zaidi.wakati utopolo wakinga'ng'aniza kupambana na Simba.
Simba kama Simba inapambana na kina Alhaly,Esperence,Enyimba,Mazembe n,k.
 
Simba ni ya kimataifa zaidi.wakati utopolo wakinga'ng'aniza kupambana na Simba.
Simba kama Simba inapambana na kina Alhaly,Esperence,Enyimba,Mazembe n,k.
Kama suala ni kupambana tu hata Singida alipambana lakini unyonge ukamzidi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…