Singasinga
JF-Expert Member
- Aug 27, 2011
- 2,711
- 3,279
Katika ukurasa wao rasmi wa twitter
Shirikisho la Mpira Afrika (CAF) Waliendesha zoezi la kura kujua ipi ni team giant inayovaa jezi nyekundu kwenye Bara hili la Africa.
Matokeo yametolewa na Klabu ya Simba imeibuka kidedea kwa kupigiwa kura nyingi zaidi.
Shirikisho la Mpira Afrika (CAF) Waliendesha zoezi la kura kujua ipi ni team giant inayovaa jezi nyekundu kwenye Bara hili la Africa.
Matokeo yametolewa na Klabu ya Simba imeibuka kidedea kwa kupigiwa kura nyingi zaidi.