Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 22,719
- 40,739
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Tunazidi kujibebea makombe...
Mzee mwenzangu utopolo ππ€£π€£π€£π€£π€£π€£
Ndio umeachiwaπππMzee mwenzangu utopolo ππ€£
Na nani mzee mwenzangu, ππ€ushaanza utopolo sasa!!π€£Ndio umeachiwaπππ
ππππNa nani mzee mwenzangu, ππ€ushaanza utopolo sasa!!π€£
Hebu nyamaza kwanza mzee mwenzangu, usiku huu majirani wasije wakajaa hapa wakajua kuna msiba, kumbe mtu analilia rungu kipepe. ππ€£ππππ
Komenti namba 6 nikajua umebadili kabila.Watupe na ratiba kamili sasa ya siku ya kurejea nchini na kikombe chao cha udhindi, ili tukawapokee kwa nderemo na shangwe.
Mnatuonea gere na "makombe" yetu.Mtafikia tulipofika siku moja.Sasa ninyi mtafanikiwa wap kila kona chupi chini