🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Aisee unazungumza nini wewe??Ubora wa msimu kwa msimu kundi D lina team bora zipi? km Al ahly, belouzdad kushiriki mara kwa mara, hata asec na wydad hapo ni kwao.
Huna Pa kuchomokeaaa? Najua sanaa kinachokutatiza kukubalii.
Ila ndo hvyo ushakubalishwa.
Yani ufananishe consistency ya Al ahly na Wydad??
Ufananishe consistency ya CR Belouzdad na Asec mimosa???
Huwezi kuwa serious.
Endelea kuwa shabiki wa simba.
Sawa mamaa