Simba SC yaipiku Yanga SC kwa kila kitu CAFCL

Ubora wa msimu kwa msimu kundi D lina team bora zipi? km Al ahly, belouzdad kushiriki mara kwa mara, hata asec na wydad hapo ni kwao.

Huna Pa kuchomokeaaa? Najua sanaa kinachokutatiza kukubalii.
Ila ndo hvyo ushakubalishwa.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Aisee unazungumza nini wewe??
Yani ufananishe consistency ya Al ahly na Wydad??
Ufananishe consistency ya CR Belouzdad na Asec mimosa???
Huwezi kuwa serious.
Endelea kuwa shabiki wa simba.
Sawa mamaa
 
Uko serious kweli😳😳😳.
Yani Asec ,wydad na Jwaneng wawe juu ya Al ahly,Cr belouzdad???
Au nkuletee takwimu??
Wacha nilete takwimu utata uishe.
 
Timu ina mpaka Wabunge wanacheza mpira halafu mnajisifu kuwafunga goals 6
 

Attachments

  • FB_IMG_17094586323292929.jpg
    198 KB · Views: 1
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…