[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unazunguka sana, simba ni bora, ukileta hoja ya kundi alilopo, na mie ntakuja kwenye kundi ulilopo na kufanya comparison baina ya hao opponents.
Na bado opponents wangu watakua juu zaidi ya wako. Afu kila mtu ashinde match zake, unaumia simba kutinga robo? Mbona hii sio habari na hata CAF wanajua.