Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ukishaanza kuinginza ukabila ni dalili za kuishiwa hoja.....mi nadhani ishu ya mechi za kagera ipo wazi sana...kwani report za kamisaa na refaree wa hiyo michezo zinasemajeBaada ya kuonenaka kuwa TFF ya Malinzi, wana Kagera wenzie ( Wahaya ) na Yanga FC wanataka kuiangamiza Klabu ya Simba juu ya points zake na tayari kukiwa na tetesi kuwa huenda leo mchana maamuzi rasmi yakatolewa na Simba SC kupokwa points Uongozi wa Simba umeitisha mkutano wa haraka sana na Waandishi wa Habari katika wanachosema kuwa TFF, wana Kagera ( Wahaya ) na Yanga FC wameamua kumwaga Ugali sasa Simba SC wao wanaenda kumwaga Mboga, Maji ya kunawa, Chumvi, Pilipili ile tuheshimiane hapa mjini kama siyo nchini.
Mpira wa Bongo umeshaharibika leo ndiyo FIFA na CAF watayajua madudu yote ya Malinzi na Watu wake wa TFF.
Hongereni sana Simba SC kwa kuamua Kukinukisha na leo ndiyo leo!
Simba SC hatuna shabiki kama wewe.. Nenda kaendeshe harambee Ndala FC...!
Mimi kama shabiki wa Simba sikupendele sana hizi Alama za mezani, ningependa Viongozi wetu wajikite zaidi kwenye kucheza mpira na kuisaidia timu kupata matokeo kwenye mechi hizi chache zilizosalia...
Ubingwa hauto noga sana! Kama hizi points zikitusaidia kuwa Mabingwa.
shida yetu sisi ni ubingwa mwaka huu..tukishindwa uwanjani, mezani hata kwenye stuli tutachukua point.. yanga kaeni chini lipeni mishahara ya wachezaji wenu.....
mwaka wa tatu huu mnaenda nje ya nchi kutia aibu tuu..
Haaaaaahaaaaaaaa we yanga mwenzangu ni mnafki khatari naona unawaenjoy tu!
Mimi kama shabiki wa Simba sikupendele sana hizi Alama za mezani, ningependa Viongozi wetu wajikite zaidi kwenye kucheza mpira na kuisaidia timu kupata matokeo kwenye mechi hizi chache zilizosalia...
Ubingwa hauto noga sana! Kama hizi points zikitusaidia kuwa Mabingwa.
nipe uhalali nianze kunywa bia maana siwapendi simba ile mbayaKagera amerudishiwa point zake..
Mkuu umesahau ile timu imetoka kuongoza moja walipofika kule wakatiwa nne mpaka kupoteana mpaka serikali kutaka kuhamia kwenye sanaa na waziri akasema hana taarifa kuwa wameenda wapi na walikombolewa na mkopo wa malinzi na asingekuwa yeye mngekaa huko mpaka mkome halafu walipotua tu taifa hawakutaka kupanda gari lile la ccm wakapotea kama upepo nadhani ndio aibu kubwa kuliko hii.Kutoka kuongoza kwa tofauti ya points nane mpaka kufikia hatua ya kulilia points za mezani baada ya kupokea kichapo dhidi ya Kagera Suger hakika hii timi ya Simba inatia aibu
Si walienda kutembezwa kijiji cha Katerero kwa miguu ndio wanalalamikaSasa Wahaya wanaingizwaje hapo? Au ulishawahi kupigwa cha mbavu na dem wa Kihaya?
Koma we, Yanga haina mashabiki wa hovyoBila shaka we n shabik w yanga maan ulivyoandika km umetoka ucgzn
Haaachi kutapatapa...!! Kwani simba mna hofu ya nini kama ushahidi upo wazi...??MFA maji...
Issue co wanaenda wapi au wanachukua kombe gani issue hapa haki,taratibu na kanuni zifuatwe co kupewa pewa pints hovyo...!! Wao simba kama wana ushahidi wa kadi tatu hofu yenu nini??Hivi hao kagera wakipata hizo points wanaenda wapi?wanachukuwa kombe au?zote hizo ni FIGISU ZA MIDABWADA FC...aka PEREGE FC