Simba SC yaitisha mkutano na Waandishi wa Habari hivi punde

Daah aisee huyo prezda ana maneno machafu huyoo acha kabisa
 
Simba kaporwa point kivipi? Mbumbumbu bhana..! Kwani simba alishinda mpaka apokonywe point ? Acheni ujinga nyie Thimba,.. Mpira unachezwa uwanjani. Mmeshindwa kupambana mnalilia points za club zingine mpewe nyie.. Hivi kulialia hamuoni ni aibu... Mambo hayo ya watoto,.. Akimuona mtu mwingine kabeba andazi anaanza kulilia Kama la kwake japokua hamjui huyo aliyebeba andazi... Sasa nanyi Thimba mmeshindwa kupambana mnaanza kuliharibu [emoji460]
 

Mkuu vepeee? Mkwara umesaidia points hazijarudishwa kwa mwenyewe?
 
d
 
Mbona mnajadili issues ambayo imeishamliwa tusonge mbele wanasimba tff ya malinzi ni ngumu simba kuwa bingwa hata hizo mechi wakiona tunelekea kupata ubingwa watatukatia rufaa hata kama mechi ilichezwa mwaka jana
 
Ulishaliwa kiboga wewe huko Kaitaba, tulia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…