Naaam kumbe unalifuatilia vizuri soka, wakifika hao tutakuwa na kikosi kizuri sana msimu ujao.Ahsanteeeeeeeeeee!!!
Bado Okwaa na Manzoki.
[emoji881][emoji881][emoji881][emoji881][emoji881][emoji881][emoji881] Nguvu 1.
Na ataongea zote za kufukuzwa kazi ktk kiwanda cha Bia.Pale Kati kuna watu watazungushwa had wawe wanadondosha kamasi. Bigirimana lazima aongee siri zake zote.
Wee nalifuatilia soka mjubaaa, yaan wakiingia Okwaa na Manzoki.Naaam kumbe unalifuatilia vizuri soka, wakifika hao tutakuwa na kikosi kizuri sana msimu ujao.
Timu zote hutangaza bei ya kununulia. Mane, Aziz Ki, Haaland, Sterling, nk. Ulisha ona wapi free product ikawa na signing fee?[emoji1787][emoji1787]🥱Jifunze kufuatulia kwanza kabla haujaamua kuropoka.
Nani hataki kuonekana ktk kumbi za CAF? Hapa ndo daraja la kufikia mafanikio yake ayatakayo.Karibu unyamani Mohamed Ouattara
Beki Kitasa, Beki wa mpira ambaye umechagua sehemu ya viwango vya CAFView attachment 2299857
Vipi??Baraka Mpenja be like "Mo Dewji, Mo Hussein, Mo Ouattara .... makolo hongera kwenu
Umekosea yule shangazi anaitwa biringanyaVipi??
Da Aziza anaendeleaje?
Da Joy nae?
Shangazii figirimania??
Byuti byuti.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 2299868
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Umekosea yule shangazi anaitwa biringanya
Usajili Wa Nasoro Kapama? [emoji23]Naona ndoto ya simba ya kucheza nusu fainali ya mashindano ya CAF inaenda kutimia kwa aina hii ya usajili inaofanya
Alongside habiba kiyombo.Usajili Wa Nasoro Kapama? [emoji23]
Hilo domo kama ashakumVipi??
Da Aziza anaendeleaje?
Da Joy nae?
Shangazii figirimania??
Byuti byuti.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 2299868