tyc
JF-Expert Member
- Feb 25, 2014
- 1,179
- 2,971
Ulipaswa uandike ' Bodi ya Wakurugenzi kupitia mtendaji mkuu wamenitaarifu kuwa mimi sio kocha mkuu tena wa Simba'!!!
Anyway, haya ni maamuzi ya kipuuzi kufanywa na uongozi wa Simba Sc dhidi ya kocha anaefanya vizuri katika ligi huku asilimia kubwa ya mashabiki na wanachama tukimkubali.
Nami natangaza NAACHA RASMI KUTOKWENDA UWANJANI KUTAZAMA MECHI YOYOTE ILE YA SIMBA MSIMU HUU HATA AKICHEZA NA BARCELONA!!!!
STU.PID UONGOZI WOTE
Anyway, haya ni maamuzi ya kipuuzi kufanywa na uongozi wa Simba Sc dhidi ya kocha anaefanya vizuri katika ligi huku asilimia kubwa ya mashabiki na wanachama tukimkubali.
Nami natangaza NAACHA RASMI KUTOKWENDA UWANJANI KUTAZAMA MECHI YOYOTE ILE YA SIMBA MSIMU HUU HATA AKICHEZA NA BARCELONA!!!!
STU.PID UONGOZI WOTE