Simba SC Yamfuta kazi Kocha Mkuu, Patrick Aussems

Ulipaswa uandike ' Bodi ya Wakurugenzi kupitia mtendaji mkuu wamenitaarifu kuwa mimi sio kocha mkuu tena wa Simba'!!!

Anyway, haya ni maamuzi ya kipuuzi kufanywa na uongozi wa Simba Sc dhidi ya kocha anaefanya vizuri katika ligi huku asilimia kubwa ya mashabiki na wanachama tukimkubali.

Nami natangaza NAACHA RASMI KUTOKWENDA UWANJANI KUTAZAMA MECHI YOYOTE ILE YA SIMBA MSIMU HUU HATA AKICHEZA NA BARCELONA!!!!

STU.PID UONGOZI WOTE
 
Yaani hizi timu bwana! Wao wawaachie kina Okwi, Kotei, Niyonzina halafu wawalete wachezaji wao sijui kutoka wapi ambao wako chini ya kiwango leo kocha kawa mbaya.
 
uwaga najiuliza ivi izi timzetu zinatakaganini maana kila kukicha nisalakasi zisizo eleweka unamfukuza kocha bila sababu zamsingi eti rafiki nawachezaji sasa sijui walitaka wawe maadui ?sijui wange fanyeje kazi ili wachezaji wafanye kazi yako kiufasaa lazima utengeneze urafiki ili wajue hisia na mapenziyako nawajue nini malengo yako .simba wamepiga hatua1mbele nakurudi tatu nyuma bado ssfali nindefu .
 
uchebe kazingua naye acha tu tuseme ule ukweli, kukosa majibu sahihi ya maswali aliyoulizwa lazima tumtilie mashaka.

Na uongozi umefanya maamuzi sahihi katika hili, nidhamu katika kazi ni jambo ambalo halipewi kipaumbele na watu wengi sana
 
uchebe kazingua naye acha tu tuseme ule ukweli, kukosa majibu sahihi ya maswali aliyoulizwa lazima tumtilie mashaka.

Na uongozi umefanya maamuzi sahihi katika hili, nidhamu katika kazi ni jambo ambalo halipewi kipaumbele na watu wengi sana
Umesikia ya upande wake?
 
Kocha katupatia mafanikio sana kama timu lakn uongoz unamfuta kaz bila sababu za msingi cjui wanataka nn lkn anyway tumtakie kila la heri Mr. Uchebe mzee wa shati moja
 
Tunamchukua Uswahilini Matola msijali, huyu ni mzalendo.
 
uchebe kazingua naye acha tu tuseme ule ukweli, kukosa majibu sahihi ya maswali aliyoulizwa lazima tumtilie mashaka.

Na uongozi umefanya maamuzi sahihi katika hili, nidhamu katika kazi ni jambo ambalo halipewi kipaumbele na watu wengi sana
Hiki ndicho nilichokuwa nawaza.
 
Kweli watu tunatofautiana sana, hivi kwa uwekezaji ulofanyika Simba timu inaondolewa club bingwa round ya kwanza then mtetee huyo kocha? kwa uwekezaji huo mkubwa timu inapoteza mchezo dhidi ya wachezaji wanaohangaika kupata mlo mmoja kwa siku afu kocha asiwajibike? Upuuzi mtupu.
 
Mbona una hukumu bila sababu, imerudi hatua moja nyuma kivipi?
Ngoja kocha ameondoka tusubiri tuone mwenendo wa Simba utakuwaje ndo tuje tuhukumu.
Mana baada mnaojiita watetezi wa Patrick mkajakua andui wa Patrick badae.
 
Poor performance ya coach ndio iliyomuondoa, tayari keshapoteza point 4 muhimu wakati ligi bado mbichi kabisa. Unapoteza game na Mwadui, are you serious?
 
tyc, Mie ntakwenda kuingalia Simba bila shaka yoyote, unatolewaje round ya kwanza champions league.
 
Poor performance ya coach ndio iliyomuondoa, tayari keshapoteza point 4 muhimu wakati ligi bado mbichi kabisa. Unapoteza game na Mwadui, are you serious?
[/QUO
keshapoteza pt 5 mkuu
 
Me mpira wa bongo nimewaachieni wenyewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…