Hiyo timu dhaifu ikakuweka 2 kimya,[emoji1787][emoji1787]Hongera Makolo mnajitahidi kuboresha team
Nataka muwe na team imara ili tushindane utani wa jadi udumu
Sihitaji muwe na team dhaifu kama mliyokuwa nayo
Hongera mtani makolo
Hawa mashabiki wengine sjui ni wawapi??hata mimi huwa nashangaaga sanaHuyu sijui kama hata anatazama games au anatembea na majina ya wachezaji tu. Hapo hakuna mchezaji wa kubaki hata mmoja. Wamepewa nafasi hakuna walichofanya. Wapo wachezaji wazuri humuhumu kuliko hao. Nimetazama UMISETA Mwanza kuna watoto wanaupiga kuliko hao kina Mkude
Kuna sehemu Yanga imetajwa hapo? Ahsante mmelikubali jina lenu la UTOPOLOBila kutaja Yanga, maisha yenu yanakuwa magumu sana..!! Yanga inawapa MUHAHO
ChamaMbona kama Simba inasajiri wachezaji wa aina moja? Sidhani kama Simba ina tatizo la kiungo ushambuliaji
- Saido
- Chama
- Kibu
- Banda
- Phiri
- Sacko
- Onana
- Karmo
Hongera mwana mbumbumbu FC, ngada FC, koloKuna sehemu Yanga imetajwa hapo? Ahsante mmelikubali jina lenu la UTOPOLO
Nyie shusheni watu wenu sisi baadae
Klabu ya Simba imethibitisha kukamilisha usajili wa Mshambuliaji hatari AUBIN KRAMO kutoka Asec Mimosas kwa Mkataba wa miaka miwili.
Kramo (27) raia wa Ivory Coast ana uwezo wa kucheza winga zote mbili na kucheza namba 10.
My Take
Hapa Simba imeupiga mwingi. Karibu Simba SC mnyama Aubin Kramo.
Ni kwa sababu msimu ujao tunataka tumalize na goli 100 katika ligi na huko CAF tuwe wamoto hatari.Mbona kama Simba inasajiri wachezaji wa aina moja? Sidhani kama Simba ina tatizo la kiungo ushambuliaji
- Saido
- Chama
- Kibu
- Banda
- Phiri
- Sacko
- Onana
- Karmo
Simba kafungwa 17, Yanga kafungwa 18. Ila Simba wanahitaji kupata chuma kimoja kwa ajili ya upande wa kushoto na viwili kwa ajili ya sshemu ya beki wa kati.Tatizo beki???mkuu uko siriasi kweli,unajua simba ndio timu ambayo imefungwa magoli machache kwenye ligi,magoli 15 sawa sawa na yanga??
Beki mahiri Che Malone anayeichezea CotonSports mabingwa wa Cameroon, ambaye pia anacheza timu ya Taifa yuko mbioni kwenda Simba.Bado nasubiria usajili wa beki wa maana kwasababu ndilo tatizo kuu letu kwa msimu ulioisha
Achana na Yanga utapasuka vibayaJamaa ana miaka 27 lakini bado ukimcheki sura inaonesha kama Mzinze under 20 wa Yanga
WanarogwaHata okra magic aliposajiliwa Alikuwa hatari mno.
Baada ya Mechi tatu Chali.
Achana na mzize kacheza mpira mpaka kaona haumlipi akaamua kuendesha bodaboda. Baadaye akarudi uwanjani Leo tunaambiwa ni under 20Jamaa ana miaka 27 lakini bado ukimcheki sura inaonesha kama Mzinze under 20 wa Yanga
Hata kwa akina Nelson Okwah, Sawadogo, Mohamed Outarra, Augustine Okrah, Victor Akpan, Mlete Mzungu, na wengineo wengi! Story zilikuwa ni hizi hizi. Ila mwisho wa siku mambo yakawa ni tofauti kabisa.Kwa huyu dogo Simba wamepata mtu
Bora hata wewe umesimama kwenye uhalisia. Tatizo kubwa la timu yenu msimu uliopita lilikuwa kwenye kiungo mkabaji, mlinda mlango wa kiwango cha juu (wa kumpa ushindani Aishi Manula), na pia beki mahiri wa kati wa kucheza na Inonga.Bado nasubiria usajili wa beki wa maana kwasababu ndilo tatizo kuu letu kwa msimu ulioisha
Sio onyango wa 28?Jamaa ana miaka 27 lakini bado ukimcheki sura inaonesha kama Mzinze under 20 wa Yanga