utopolo og
JF-Expert Member
- Nov 29, 2022
- 575
- 1,575
Klabu ya Simba almaarufu Wekundu wa Msimbazi leo imetangaza kumsajili Mshambuliaji kutoka Malindi ya Zanzibar kwa mkataba wa miaka miwili.
Mchezaji huyo anayefahamika Kwa jina la Mohamed Mussa au Manzoki wa Zanzibar ndio kinara wa mabao kwenye ligi ngumu huko visiwani Zanzibar na inasemekana ataongeza makali kwenye safu ya ushambuliaji ya Simba kwenye michuano ya kimataifa
Hatujamalizaaaaa...........[emoji119]
Mchezaji huyo anayefahamika Kwa jina la Mohamed Mussa au Manzoki wa Zanzibar ndio kinara wa mabao kwenye ligi ngumu huko visiwani Zanzibar na inasemekana ataongeza makali kwenye safu ya ushambuliaji ya Simba kwenye michuano ya kimataifa
Hatujamalizaaaaa...........[emoji119]