DullyJr
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 13,983
- 11,857
Haaland mtupu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haaland mtupu
Ajaze mkataba akisimamiwa na kibatala, asilete ujinga wa fei toto.Wazee wa kusajili magarasa kama kawaida yao
Unamkumbuka Thuweni Ally?wanzenj hawajawah kung'aa simbaa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kweli mkuu hawa watoto wa Zanzibar sio wakuamini sanaAjaze mkataba akisimamiwa na kibatala, asilete ujinga wa fei toto.
Vipi, umepigwa na kitu kizito kichwani?Duuuh
Hata kundika hujui ‘Muwahoji ‘ ndio mdudu ganiAcha porojo wewe. Mnatakiwa muwahoji viongozi wenu Manzoki Yuko wapi? Sio mnadanganywa kila usajili mwisho mnaletewa magarasa tupu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ushalewa wanzuki angalia utatifuliwa uwembaFuture yanyoko[emoji1][emoji1]
1. Thuwen Allywanzenj hawajawah kung'aa simbaa
SanaaEti manzoki wa Zanzibar [emoji1787][emoji1787] We utopolo og unawashwa sana na simba
Huyo wakati huo alikwa kijijini kwao analalia ngozi ya mbuzi1. Thuwen Ally
2. Nassoro Masoud Cholo
3. Dua Said
4. Soud Abdallah.
Walaa nilikua nashangaa ilikua lini?? Ndo nimeshajua sasaVipi, umepigwa na kitu kizito kichwani?
Ndiyo mbadala wa Manzoki huyo. Kwa hiyo mjadala wa Manzoki halisi, ndiyo umefungwa rasmi.Walaa nilikua nashangaa ilikua lini?? Ndo nimeshajua sasa
Tumempokea mzawa kwa mikono miwili...wacha aje akae na kaka zake kina KibuNdiyo mbadala wa Manzoki huyo. Kwa hiyo mjadala wa Manzoki halisi, ndiyo umefungwa rasmi.
Anaitwa chriss pope mushimba mugalu the animal the beast, the destroyer ,humiliator [emoji23]