Simba SC yamsajili Mshambuliaji wa Malindi, Mohamed Mussa "Manzoki wa Zanzibar"

Simba SC yamsajili Mshambuliaji wa Malindi, Mohamed Mussa "Manzoki wa Zanzibar"

Sio hao tu mkuu, kuanzia Saido ntibazonkiza na hao wengine wote ni wachezaji wa Bure, viongozi wa Simba ni hopeless
Kasajili wewe kama ni kazi rahisi unadhan ukikaa kwenye vijiwe vya wanzuki na gongo unavyodanganywa na hayo matapu tapu basi unajiweza chura kweli
 
Kasajili wewe kama ni kazi rahisi unadhan ukikaa kwenye vijiwe vya wanzuki na gongo unavyodanganywa na hayo matapu tapu basi unajiweza chura kweli
Acha porojo wewe. Mnatakiwa muwahoji viongozi wenu Manzoki Yuko wapi? Sio mnadanganywa kila usajili mwisho mnaletewa magarasa tupu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom