Simba Sc yaongoza kutazamwa Afrika

Simba Sc yaongoza kutazamwa Afrika

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
20220318_11584374426.jpg
Kwa mujibu wa CAF, Simba imekuwa ndio klabu inayotazamwa kwa wingi na mashabiki kupitia akaunti za mitandao ya kijamii za CAF, ikiwamo Youtube (CAF TV) kulinganisha na timu nyingine kongwe Afrika na ikifuatiwa na Al Ahly ya Misri.
.
Rekodi zinaonyesha pambano lililotazamwa zaidi ni lile la Simba vs Al Ahly la msimu uliopita ambapo Simba ilishinda 1-0, kwani lilitazamwa na mashabiki zaidi ya milioni moja, huku maoni yakiwa zaidi ya 800.

Mechi iliyoshika nafasi ya pili ni Simba na AS Vita iliyopigwa Dar ikitazamwa na mashabiki 597,000 na ile ya ugenini ambayo Simba ilishinda bao 1-0 ina watazamaji 529,000 katika chaneli ya CAF TV.

My Take
Kama unakerwa na habari zangu za Simba Sc kunyanyasa kimataifa,lete habari za timu yako Uto
 
Taifa Kubwa.

Naamini kabisa utopolo nao wamechangia kwa kiasi kikubwa kuongeza hao viewers, huwa wanatazama wakiamini Simba SC itafungwa matokeo yake wanaishia kuipaisha tu Simba SC kimataifa.
 
Taifa Kubwa.

Naamini kabisa utopolo nao wamechangia kwa kiasi kikubwa kuongeza hao viewers, huwa wanatazama wakiamini Simba SC itafungwa matokeo yake wanaishia kuipaisha tu Simba SC kimataifa.
The Mautopolo FC
 
Kwa Azam media ilishindikana. Sportpesa wanajua ukubwa wa Yanga. Utaona kitakachotokea.
Mapato ya uwanjani tu mlizidiwa last season
Mkataba wa Sportpesa ukiisha,inabidi Simba wasaini mkataba mzito sana,imeshakuwa level za mbali
 
Mbumbumbu FC Kwa kulishana matango pori wanaongoza barani Afrika. Mara timu tajiri mara goli Bora n.k wakati ki uhalisia hakuna link yoyote ya Caf inayo elezea upuuzi huo wanao danganyana. Caf kwenye link Yao wameweka magoli mengi yaliyofungwa wiki iliyopita Tena ya Champion league na Confederation wao wanasema goli la sakho limechaguliwa Bora.
Mbumbumbu fc mtauwana Kwa kujitutumua.
 
1647603694791.png
➡️ Rekodi zinaonyesha pambano lililotazamwa zaidi ni lile la Simba vs Al Ahly la msimu uliopita ambapo Simba ilishinda 1-0, kwani lilitazamwa na mashabiki zaidi ya milioni moja, huku maoni yakiwa zaidi ya 800.

➡️ Mechi iliyoshika nafasi ya pili ni Simba na AS Vita iliyopigwa Dar ikitazamwa na mashabiki 597,000 na ile ya ugenini ambayo Simba ilishinda bao 1-0 ina watazamaji 529,000 katika chaneli ya CAF TV.
 
Mbumbumbu FC Kwa kulishana matango pori wanaongoza barani Afrika. Mara timu tajiri mara goli Bora n.k wakati ki uhalisia hakuna link yoyote ya Caf inayo elezea upuuzi huo wanao danganyana. Caf kwenye link Yao wameweka magoli mengi yaliyofungwa wiki iliyopita Tena ya Champion league na Confederation wao wanasema goli la sakho limechaguliwa Bora.
Mbumbumbu fc mtauwana Kwa kujitutumua.
Screenshot_20220318-144956_Chrome.jpg

Screenshot_20220318-144301_Chrome.jpg

Tunajua nyie ni haters,ila isije kuwa unatafuta magoli ya Sakho kwenye twita ya CUF ya Lipumba 🤣🤣🤣🤣🤣🦁🦁🦁

Kuwa makini Utopolo la sivyo Sakho atakunyunyizia
 
View attachment 2155360
View attachment 2155361
Tunajua nyie ni haters,ila isije kuwa unatafuta magoli ya Sakho kwenye twita ya CUF ya Lipumba [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji881][emoji881][emoji881]

Kuwa makini Utopolo la sivyo Sakho atakunyunyizia
Hakuna link yoyote ya Caf inayo zungumzia kua goli laSakho limechaguliwa kuwa goli Bora la week, isipokua Kuna msululu wa magoli yaliyo fungwa mwishoni mwa wiki iliyopita katika mashindano ya Caf Moja ya magoli ayo ni la Sakho. Kwakua mmeamua kuwafurahisha mbumbumbu wenzenu bas sio mbaya sisi ni nani tupinge.
 
Mbumbumbu FC Kwa kulishana matango pori wanaongoza barani Afrika. Mara timu tajiri mara goli Bora n.k wakati ki uhalisia hakuna link yoyote ya Caf inayo elezea upuuzi huo wanao danganyana. Caf kwenye link Yao wameweka magoli mengi yaliyofungwa wiki iliyopita Tena ya Champion league na Confederation wao wanasema goli la sakho limechaguliwa Bora.
Mbumbumbu fc mtauwana Kwa kujitutumua.
Pole mkuu
 
Hakuna link yoyote ya Caf inayo zungumzia kua goli laSakho limechaguliwa kuwa goli Bora la week, isipokua Kuna msululu wa magoli yaliyo fungwa mwishoni mwa wiki iliyopita katika mashindano ya Caf Moja ya magoli ayo ni la Sakho. Kwakua mmeamua kuwafurahisha mbumbumbu wenzenu bas sio mbaya sisi ni nani tupinge.
Utotopolo katika ubora wako,
 
Hakuna link yoyote ya Caf inayo zungumzia kua goli laSakho limechaguliwa kuwa goli Bora la week, isipokua Kuna msululu wa magoli yaliyo fungwa mwishoni mwa wiki iliyopita katika mashindano ya Caf Moja ya magoli ayo ni la Sakho. Kwakua mmeamua kuwafurahisha mbumbumbu wenzenu bas sio mbaya sisi ni nani tupinge.
Punguza chuki
 
Kwa mujibu wa CAF, Simba imekuwa ndio klabu inayotazamwa kwa wingi na mashabiki kupitia akaunti za mitandao ya kijamii za CAF, ikiwamo Youtube (CAF TV) kulinganisha na timu nyingine kongwe Afrika na ikifuatiwa na Al Ahly ya Misri.
.
Rekodi zinaonyesha pambano lililotazamwa zaidi ni lile la Simba vs Al Ahly la msimu uliopita ambapo Simba ilishinda 1-0, kwani lilitazamwa na mashabiki zaidi ya milioni moja, huku maoni yakiwa zaidi ya 800.

Mechi iliyoshika nafasi ya pili ni Simba na AS Vita iliyopigwa Dar ikitazamwa na mashabiki 597,000 na ile ya ugenini ambayo Simba ilishinda bao 1-0 ina watazamaji 529,000 katika chaneli ya CAF TV.

My Take
Kama unakerwa na habari zangu za Simba Sc kunyanyasa kimataifa,lete habari za timu yako Uto
Boss agiza nakuja kulipa 🦁
 
Back
Top Bottom