Simba Sc yaongoza kutazamwa Afrika

Simba Sc yaongoza kutazamwa Afrika

Hakuna link yoyote ya Caf inayo zungumzia kua goli laSakho limechaguliwa kuwa goli Bora la week, isipokua Kuna msululu wa magoli yaliyo fungwa mwishoni mwa wiki iliyopita katika mashindano ya Caf Moja ya magoli ayo ni la Sakho. Kwakua mmeamua kuwafurahisha mbumbumbu wenzenu bas sio mbaya sisi ni nani tupinge.
Umeelewa kweli mkuu kilichoandikwa na CAF!?? Au ndio ubishii jadii yako!??[emoji119]
 
Wanataman wawe ndo sisi ila ndo haiwezekan...wabakie na kikundi chao cha ngoma ambapo kila kikicheza wanazawadiwa ng'ombe
 
Kwa mujibu wa CAF, Simba imekuwa ndio klabu inayotazamwa kwa wingi na mashabiki kupitia akaunti za mitandao ya kijamii za CAF, ikiwamo Youtube (CAF TV) kulinganisha na timu nyingine kongwe Afrika na ikifuatiwa na Al Ahly ya Misri.
.
Rekodi zinaonyesha pambano lililotazamwa zaidi ni lile la Simba vs Al Ahly la msimu uliopita ambapo Simba ilishinda 1-0, kwani lilitazamwa na mashabiki zaidi ya milioni moja, huku maoni yakiwa zaidi ya 800.

Mechi iliyoshika nafasi ya pili ni Simba na AS Vita iliyopigwa Dar ikitazamwa na mashabiki 597,000 na ile ya ugenini ambayo Simba ilishinda bao 1-0 ina watazamaji 529,000 katika chaneli ya CAF TV.

My Take
Kama unakerwa na habari zangu za Simba Sc kunyanyasa kimataifa,lete habari za timu yako Uto
Mwisho wa siku bingwa alikua nani?
 
Maneno bila uthibitisho ni umbea, Naona mmeamua kuitafuta furaaha kwa nguvu.
 
Kwa Azam media ilishindikana. Sportpesa wanajua ukubwa wa Yanga. Utaona kitakachotokea.
Mapato ya uwanjani tu mlizidiwa last season
Tunazungumzia Afrika baba, bado tu upo na mapato ya mlangoni ? 🤣🤣🤣
 
May 2016

Ila mechi hii ya 2016 ilinishangaza jinsi Yanga walivyocheza kama vile ni timu ya kutoka ulaya.

Sijui ni nini timu za Tanzania zinashindwa kuwa na muendelezo wa soka la kiwango cha juu kila msimu.

YANGA VS AL AHLY CAF CHAMPIONS SEC LEAGUE 2016





Source : Thabani Scara Kamusoko
 
Waeleweshe mbumbumbu wenzako
This is beyond UYANGA.

Basi tufanye hivi, huyo Sakho hata goli huko kwenye mashindano ya CAF hajawahi kufunga.

Tuwasamehe mashabiki wa Simba kwa uongo wanaotulisha.

Aliyefunga ni Fiston Kalala Mayele, assist ilikua ni ya Saido Antibiotic Ntibazonkiza, pre-assist ya Khalid Daktari wa Mpira Aucho.

Nadhani hapo mkuu itakua imekaa sawa.

NB: Kila la heri mtani katika pambano lako la leo dhidi ya KMC.
 
Kwa mujibu wa CAF, Simba imekuwa ndio klabu inayotazamwa kwa wingi na mashabiki kupitia akaunti za mitandao ya kijamii za CAF, ikiwamo Youtube (CAF TV) kulinganisha na timu nyingine kongwe Afrika na ikifuatiwa na Al Ahly ya Misri.
.
Rekodi zinaonyesha pambano lililotazamwa zaidi ni lile la Simba vs Al Ahly la msimu uliopita ambapo Simba ilishinda 1-0, kwani lilitazamwa na mashabiki zaidi ya milioni moja, huku maoni yakiwa zaidi ya 800.

Mechi iliyoshika nafasi ya pili ni Simba na AS Vita iliyopigwa Dar ikitazamwa na mashabiki 597,000 na ile ya ugenini ambayo Simba ilishinda bao 1-0 ina watazamaji 529,000 katika chaneli ya CAF TV.

My Take
Kama unakerwa na habari zangu za Simba Sc kunyanyasa kimataifa,lete habari za timu yako Uto
Mimi nimenyanyasika sana na hawa mabingwa Simba.Sikubali.Naileta timu yangu ya Lipuli Wanapaluhengo.Ifwa munu bee!
 
Kwa mujibu wa CAF, Simba imekuwa ndio klabu inayotazamwa kwa wingi na mashabiki kupitia akaunti za mitandao ya kijamii za CAF, ikiwamo Youtube (CAF TV) kulinganisha na timu nyingine kongwe Afrika na ikifuatiwa na Al Ahly ya Misri.
.
Rekodi zinaonyesha pambano lililotazamwa zaidi ni lile la Simba vs Al Ahly la msimu uliopita ambapo Simba ilishinda 1-0, kwani lilitazamwa na mashabiki zaidi ya milioni moja, huku maoni yakiwa zaidi ya 800.

Mechi iliyoshika nafasi ya pili ni Simba na AS Vita iliyopigwa Dar ikitazamwa na mashabiki 597,000 na ile ya ugenini ambayo Simba ilishinda bao 1-0 ina watazamaji 529,000 katika chaneli ya CAF TV.

My Take
Kama unakerwa na habari zangu za Simba Sc kunyanyasa kimataifa,lete habari za timu yako Uto
Kwa takwimu hizi hivi kuna hoja ya viluilui (Yanga) kushiriki mashindano ya kimataifa kweli? Haijawahi fanya vizuri kimataifa hata siku moja.
 
Azam walisema yanga ndio ilitazamwa mara nyingi ili wawape simba pesa kidogo za haki ya matangazo simba wakashtukia janja janja Yao
 
Kwa mujibu wa CAF, Simba imekuwa ndio klabu inayotazamwa kwa wingi na mashabiki kupitia akaunti za mitandao ya kijamii za CAF, ikiwamo Youtube (CAF TV) kulinganisha na timu nyingine kongwe Afrika na ikifuatiwa na Al Ahly ya Misri.
.
Rekodi zinaonyesha pambano lililotazamwa zaidi ni lile la Simba vs Al Ahly la msimu uliopita ambapo Simba ilishinda 1-0, kwani lilitazamwa na mashabiki zaidi ya milioni moja, huku maoni yakiwa zaidi ya 800.

Mechi iliyoshika nafasi ya pili ni Simba na AS Vita iliyopigwa Dar ikitazamwa na mashabiki 597,000 na ile ya ugenini ambayo Simba ilishinda bao 1-0 ina watazamaji 529,000 katika chaneli ya CAF TV.

My Take
Kama unakerwa na habari zangu za Simba Sc kunyanyasa kimataifa,lete habari za timu yako Uto
Sifa za kijinga hamna faida yoyote unayopata.
 
Back
Top Bottom