Umeelewa kweli mkuu kilichoandikwa na CAF!?? Au ndio ubishii jadii yako!??[emoji119]Hakuna link yoyote ya Caf inayo zungumzia kua goli laSakho limechaguliwa kuwa goli Bora la week, isipokua Kuna msululu wa magoli yaliyo fungwa mwishoni mwa wiki iliyopita katika mashindano ya Caf Moja ya magoli ayo ni la Sakho. Kwakua mmeamua kuwafurahisha mbumbumbu wenzenu bas sio mbaya sisi ni nani tupinge.
Waeleweshe mbumbumbu wenzakoUmeelewa kweli mkuu kilichoandikwa na CAF!?? Au ndio ubishii jadii yako!??[emoji119]
Mwisho wa siku bingwa alikua nani?Kwa mujibu wa CAF, Simba imekuwa ndio klabu inayotazamwa kwa wingi na mashabiki kupitia akaunti za mitandao ya kijamii za CAF, ikiwamo Youtube (CAF TV) kulinganisha na timu nyingine kongwe Afrika na ikifuatiwa na Al Ahly ya Misri.
.
Rekodi zinaonyesha pambano lililotazamwa zaidi ni lile la Simba vs Al Ahly la msimu uliopita ambapo Simba ilishinda 1-0, kwani lilitazamwa na mashabiki zaidi ya milioni moja, huku maoni yakiwa zaidi ya 800.
Mechi iliyoshika nafasi ya pili ni Simba na AS Vita iliyopigwa Dar ikitazamwa na mashabiki 597,000 na ile ya ugenini ambayo Simba ilishinda bao 1-0 ina watazamaji 529,000 katika chaneli ya CAF TV.
My Take
Kama unakerwa na habari zangu za Simba Sc kunyanyasa kimataifa,lete habari za timu yako Uto
Tunazungumzia Afrika baba, bado tu upo na mapato ya mlangoni ? 🤣🤣🤣Kwa Azam media ilishindikana. Sportpesa wanajua ukubwa wa Yanga. Utaona kitakachotokea.
Mapato ya uwanjani tu mlizidiwa last season
This is beyond UYANGA.Waeleweshe mbumbumbu wenzako
Mimi nimenyanyasika sana na hawa mabingwa Simba.Sikubali.Naileta timu yangu ya Lipuli Wanapaluhengo.Ifwa munu bee!Kwa mujibu wa CAF, Simba imekuwa ndio klabu inayotazamwa kwa wingi na mashabiki kupitia akaunti za mitandao ya kijamii za CAF, ikiwamo Youtube (CAF TV) kulinganisha na timu nyingine kongwe Afrika na ikifuatiwa na Al Ahly ya Misri.
.
Rekodi zinaonyesha pambano lililotazamwa zaidi ni lile la Simba vs Al Ahly la msimu uliopita ambapo Simba ilishinda 1-0, kwani lilitazamwa na mashabiki zaidi ya milioni moja, huku maoni yakiwa zaidi ya 800.
Mechi iliyoshika nafasi ya pili ni Simba na AS Vita iliyopigwa Dar ikitazamwa na mashabiki 597,000 na ile ya ugenini ambayo Simba ilishinda bao 1-0 ina watazamaji 529,000 katika chaneli ya CAF TV.
My Take
Kama unakerwa na habari zangu za Simba Sc kunyanyasa kimataifa,lete habari za timu yako Uto
Kwa takwimu hizi hivi kuna hoja ya viluilui (Yanga) kushiriki mashindano ya kimataifa kweli? Haijawahi fanya vizuri kimataifa hata siku moja.Kwa mujibu wa CAF, Simba imekuwa ndio klabu inayotazamwa kwa wingi na mashabiki kupitia akaunti za mitandao ya kijamii za CAF, ikiwamo Youtube (CAF TV) kulinganisha na timu nyingine kongwe Afrika na ikifuatiwa na Al Ahly ya Misri.
.
Rekodi zinaonyesha pambano lililotazamwa zaidi ni lile la Simba vs Al Ahly la msimu uliopita ambapo Simba ilishinda 1-0, kwani lilitazamwa na mashabiki zaidi ya milioni moja, huku maoni yakiwa zaidi ya 800.
Mechi iliyoshika nafasi ya pili ni Simba na AS Vita iliyopigwa Dar ikitazamwa na mashabiki 597,000 na ile ya ugenini ambayo Simba ilishinda bao 1-0 ina watazamaji 529,000 katika chaneli ya CAF TV.
My Take
Kama unakerwa na habari zangu za Simba Sc kunyanyasa kimataifa,lete habari za timu yako Uto
Sifa za kijinga hamna faida yoyote unayopata.Kwa mujibu wa CAF, Simba imekuwa ndio klabu inayotazamwa kwa wingi na mashabiki kupitia akaunti za mitandao ya kijamii za CAF, ikiwamo Youtube (CAF TV) kulinganisha na timu nyingine kongwe Afrika na ikifuatiwa na Al Ahly ya Misri.
.
Rekodi zinaonyesha pambano lililotazamwa zaidi ni lile la Simba vs Al Ahly la msimu uliopita ambapo Simba ilishinda 1-0, kwani lilitazamwa na mashabiki zaidi ya milioni moja, huku maoni yakiwa zaidi ya 800.
Mechi iliyoshika nafasi ya pili ni Simba na AS Vita iliyopigwa Dar ikitazamwa na mashabiki 597,000 na ile ya ugenini ambayo Simba ilishinda bao 1-0 ina watazamaji 529,000 katika chaneli ya CAF TV.
My Take
Kama unakerwa na habari zangu za Simba Sc kunyanyasa kimataifa,lete habari za timu yako Uto