OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Kibu na BoccoWafungaji kina nani?
Mtutajie basi na timu mliyocheza nayo ili tuweze kui google. Maana ukiona mpaka nahodha John Bocco amefunga, basi ujue hapo kuna namna.Kibu na Bocco
Itakuwa ni ile Ulaya ya Ludewa bila shaka.Mwishoni mwa msimu unaokuja tunamuuza Kibu Ulaya
Mosie iweeMtutajie basi na timu mliyocheza nayo ili tuweze kui google. Maana ukiona mpaka nahodha John Bocco amefunga, basi ujue hapo kuna namna.
Wewe waonaje umeshuka ama umepanda?Wewe nae michezo ya kirafiki si huwa ni mazoezi tu?
Hata huo uwanja wenyewe unaonesha ni wa mazoezi tu.
Nakumbuka Yanga na Simba za
miaka ya 70s zilikuwa zinakwenda Brazil na nchi zingine za Ulaya kwa michezo ya kirafiki. Tena kwa wafadhili ilikuwa kwa mapenzi tu ya mchezo siyo siku hizi kwa kipato.
Sasa jamani mpira umekuwa Tanzania au umeshuka?
Mnasemaga hivi hivi. Mwenzio jana nimemkumbusha kauli zake kuhusu Sakho, kabaki tu anajiumaumaItakuwa ni ile Ulaya ya Ludewa bila shaka.
Isije ikawa ni mechi kati ya waliovaa jezi na walio vuaView attachment 2700476
Simba Sc ikiwa inacheza kwa kasi kama umeme imepiga mtu 2-0 huko Uturuki. Hii ni mechi ya mchana tu,jioni ya saa 12 tunapiga game nyingine. Hii ni tahadhali kwa timu ndogo ndogo na zile za CAF Champs
Nguvu Moja
Pua zimeshakupanuka tayari hapoMtutajie basi na timu mliyocheza nayo ili tuweze kui google. Maana ukiona mpaka nahodha John Bocco amefunga, basi ujue hapo kuna namna.
Inaitwa Turan FC.Mtutajie basi na timu mliyocheza nayo ili tuweze kui google. Maana ukiona mpaka nahodha John Bocco amefunga, basi ujue hapo kuna namna.
Huyu bocco kuna kitu anataka kutuaminisha halaf ligi ikianza tuanze kutafta wachawiView attachment 2700476
Simba Sc ikiwa inacheza kwa kasi kama umeme imepiga mtu 2-0 huko Uturuki. Hii ni mechi ya mchana tu,jioni ya saa 12 tunapiga game nyingine. Hii ni tahadhali kwa timu ndogo ndogo na zile za CAF Champs
Nguvu Moja