Simba Sc yapiga mtu 2-0 Uturuki; Friendly Match

Simba Sc yapiga mtu 2-0 Uturuki; Friendly Match

Wewe nae michezo ya kirafiki si huwa ni mazoezi tu?

Hata huo uwanja wenyewe unaonesha ni wa mazoezi tu.

Nakumbuka Yanga na Simba za
miaka ya 70s zilikuwa zinakwenda Brazil na nchi zingine za Ulaya kwa michezo ya kirafiki. Tena kwa wafadhili ilikuwa kwa mapenzi tu ya mchezo siyo siku hizi kwa kipato.

Sasa jamani mpira umekuwa Tanzania au umeshuka?
Hebu kalale kampa babu chakula yake huku sio mahali pako
 
Maana ukiona mpaka nahodha John Bocco amefunga, basi ujue hapo kuna namna.

Huyu bocco kuna kitu anataka kutuaminisha halaf ligi ikianza tuanze kutafta wachawi
Huwa nawashangaa mnaombeza Bocco. Nakwambia hivi, ukiondoa kelele za kishabiki (za mashabiki wa pande zote mbili), hakuna striker bora mzawa anayemfikia Bocco, sizungumzii kwa rekodi, nazungumzia kwa nyakati hizi za sasa
 
Huwa nawashangaa mnaombeza Bocco. Nakwambia hivi, ukiondoa kelele za kishabiki (za mashabiki wa pande zote mbili), hakuna striker bora mzawa anayemfikia Bocco, sizungumzii kwa rekodi, nazungumzia kwa nyakati hizi za sasa
Bocco haram ni uchafu tu
 
IMG-20230727-WA0178.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe nae michezo ya kirafiki si huwa ni mazoezi tu?

Hata huo uwanja wenyewe unaonesha ni wa mazoezi tu.

Nakumbuka Yanga na Simba za
miaka ya 70s zilikuwa zinakwenda Brazil na nchi zingine za Ulaya kwa michezo ya kirafiki. Tena kwa wafadhili ilikuwa kwa mapenzi tu ya mchezo siyo siku hizi kwa kipato.

Sasa jamani mpira umekuwa Tanzania au umeshuka?
Kwa hiyo lile promo la DPW bàsi, sasa uko kwenye soccer?
 
Kwa hiyo lile promo la DPW bàsi, sasa uko kwenye soccer?
Sasa hivi napiga promo DPW wa sponsor timu yangu ya Pwani Stars.

In shaa Allah mtatuona misimu ijayo, lakini mtatusikia, tunaanzia chini tuweke historia kama waliyoiweka Nottingham Forest miaka ya zamani, Unawajuwa Nottingham Forest wewe?
 
Sasa hivi napiga promo DPW wa sponsor timu yangu ya Pwani Stars.

In shaa Allah mtatuona misimu ijayo, lakini mtatusikia, tunaanzia chini tuweke historia kama waliyoiweka Nottingham Forest miaka ya zamani, Unawajuwa Nottingham Forest wewe?
Mambo ya matimu ya mpira ungeachana nayo, wewe pigania ujenzi wa misikiti. Kwa wazo hili, ufadhili wa DPW ni nje nje tofauti na mpira/ kandanda
 
Mambo ya matimu ya mpira ungeachana nayo, wewe pigania ujenzi wa misikiti. Kwa wazo hili, ufadhili wa DPW ni nje nje tofauti na mpira/ kandanda
Hao wanafadhili sana michezo, wasome vizuri.

Misikiti ndiyo usiseme.
 
Back
Top Bottom