Simba SC yapokwa pointi 3 dhidi ya Kagera Sukari

Kama vip simba tundikeni daluga. Hawawezi kutunyang'anya haki yetu hiv hiv chaaa.
Haki gani ndugu? Kagera si waliwafunga ndani ya dakika 90? Au walichezesha mchezaji asiekuwa wao? Au yule mchezaji asingecheza ndio simba wangeshinda? Tuache madai ya kipuuzi yanayoweza kurudisha nyuma soka letu!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…