Yaani Wikipedia hii ambayo hata Mwakalebela tu anaweza kuedit taarifa ndio umeifanya reference?Kwahiyo footballdatabase.com siku hizi ndio website ya CAF?
Nenda humo achana na hizo blog zako za tandale.
[emoji1] CAF ya Lipumba au?Kwa taarifa za CAF za mechi za mwisho zilizo chezwa December 5, Simba haipo ata katika timu 30 Bora Africa.
Yaani source ya taarifa yako ni wikipedia????Hii ndio official ranking ya msimu wa 2021-22. Yani Yanga imepitwa mpaka na Namungo [emoji23][emoji23][emoji23]
View attachment 2038654View attachment 2038656View attachment 2038657
Embu edit hiyo taarifa hapo sasa hivi tuone kama rahis kubadilisha hizo ranking?Yaani Wikipedia hii ambayo hata Mwakalebela tu anaweza kuedit taarifa ndio umeifanya reference?
Weka source unayoamini ww ni ya uhakika tucheki current standingsYaani source ya taarifa yako ni wikipedia????
Aisee jifunze how wikipedia works utaacha kutumia kama source ya taarifa zako
Kila wapangaji wanatumia vigezo vyao tofauti na wengine. Hata hivyo Simba wakiwa wa 105 wenzao hapa Bongo watakuwa kuanzia 500.kwa mujibu wa CAF simba sc ya Tanzania imekua ya 105 kwa ubora Africa
hii ni taarifa ya 5 December 2021
hongereni simba sc.
View attachment 2038641
Kafungie maandazi na vitumbua soko la Mwanjelwa
Tulia wewe mwana utoKafungie maandazi na vitumbua soko la Mwanjelwa
Kwani uongoTulia wewe mwana uto
Civic United Front (CUF) bila shaka ndiyo website unayomaanisha.Kwa taarifa za CAF za mechi za mwisho zilizo chezwa December 5, Simba haipo ata katika timu 30 Bora Africa.
Civic United Front (CUF) bila shaka ndiyo website unayomaanisha.Kwa taarifa za CAF za mechi za mwisho zilizo chezwa December 5, Simba haipo ata katika timu 30 Bora Africa.
Embu edit hiyo taarifa hapo sasa hivi tuone kama rahis kubadilisha hizo ranking?
I mean edit hiyo list ya viwango vya team. Eg unaweza weka team zote za tanzania juu.
Iyo kazi fanya wewe maana ushaonyeshwa njiaI mean edit hiyo list ya viwango vya team. Eg unaweza weka team zote za tanzania juu.
Kama simba ni hiyo namba Yanga ya 60 au 70 kwa update ua derby ya jmamosi kufuatia ball possessionSimba ikishika nafasi hiyo upotolo watashika nafasi ya elfu 80 au laki na upuuzi
Hii ya Shaffi.........
Aweke utopolo ya kwanzI mean edit hiyo list ya viwango vya team. Eg unaweza weka team zote za tanzania juu.