SIMBA SC yashinda 6-0 dhidi ya Dar City FC | ASFC | Benjamini Mkapa Stadium

Unatia aibu, unashangilia kiasi icho kwa timu ya daraja la 3 tena unajua kabisa tumenunua mechi. Hivi kweli sisi Simba tumefikia stage iyo??
" Simba guvu moya"
Si umegoma kukimbia, endelea kukalia misumari..
 
Yanga Sports Club Wazee Wa Historia Walishawahi Kukojolewa na Mnyama 5 - 0 kama Ubao Unavyosomeka hivi sasa!!
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Sema Mnabahati Ya Kupangiwa Vibonde Aisee Nadhani Wanajua Hali Yenu Kwa Sasa, Ukianza Kule Mapinduzi Cup Mpk Huku Azam Federation Cup Huwezi Fananisha Timu Alizocheza Nazo Yanga Na Hawa Jamaaa [emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…