Che mittoga
JF-Expert Member
- Mar 28, 2017
- 12,658
- 16,205
Afadhali na Bocco ni mchezajiwa ndani.Wanasimba kwa maslahi ya umma, huyu Bocco astaafishwe. Kama hajajipanga basi watuambie kabla ya kuchangia Mo Arena, ni heri tuanze kumchangia kiinua mgongo chake maana anatitia hasira na hasara. Huyo Mugalu atajuana na akina Kabila na Tshisekedi
Hao wote ni kuwapiga benchi tu. Ataenda kujuana na akina mosikitoko wenzie hukoAfadhali na Bocco ni mchezajiwa ndani.
Kuliko huyo mkabaji wa mabeki.
Nafasi nne za wazi anafunga moja.
Pumbaf kabisa Muga
Halafu kuna watu wanamlaumu Pablo kutoka Madrid hana mbinu, asante Pablo kwa ushindi mnono.Ikiwa ni Muendelezo Wa Hatua Ya 32 bora Kombe La Shirikisho la Azam, Leo Ni Simba Sc Vs Dar City.
Je Ni Nani Kufuzu kwenda Hatua Ya 16 Bora?. Tuwe pamoja Hapa JF kwa Live Updates kuanzia Saa Moja Kamili Jioni Ya Leo
Kikosi Cha Simba Kinacho Anza
View attachment 2101486
UPDATES:
Vikosi Vinaingia Uwanjani.
00β Mpira Umeanza Hapa Benjamini Mkapa
1β Simba Wanapata kona
2β Simba Wanapata Kona
04β Simba Wanapata Kona
05β Simba Sc 1 Dar City 0 (Meddie Kagere)
09β Simba Wanapata Free Kick
10β Simba Sc 1 Dar City 0 (Meddie Kagere)
13β Simba Sc 2 Dar City 0 (Meddie Kagere)
17β Athumani Matumbo Anaoneshwa Kadi Ya Njano
18β Simba Sc 3 Dar City 0 (Chama)
20β Dar City Wanapata Kona
21β Simba Sc 4 Dar City 0 (Rally Bwalya)
23β Simba Sc Wanapata kona
26β Simba Sc 4 Dar City 0
27β Simba Sc Wanapata Free Kick
29β Dar City Wanapata Kona 2
31β Simba Sc 4 Dar City 0
36β Simba Sc 4 Dar City 0
37β Simba Sc Wanapata Kona Ya 5
38β Simba Sc Wanapata Kona Ya 6
40β Simba Sc 4 Dar City 0
42β Juma Abdallah Anaoneshwa Kadi Ya Njano
43β Simba Sc Wanapata Kona 7
Dakika Moja Ya Nyongeza
45 +1 Simba Wanapata Kona Ya 8
Mpira ni Mapumziko.
Takwimu za Kipindi Cha Kwanza
View attachment 2101559
KIPINDI CHA PILI
Timu zinarejea Uwanjani
Simba Imefanya Mabadiriko ya Wachezaji 3, Bocco, Jimson na Wawa ametoka Enock Inonga, Bwalya na Kagere
45β Kipindi Cha Pili Kimeanza Hapa Benjamini Mkapa.
47β Simba Sc 5 Dar City 0 (Wawa)
53β Dar City wanapata Free kick
55β Dar City Wanafanya Mabadiriko Ya Wachezaji 3
60β Simba Sc Wanapata Free Kick
60β Simba wanafanya Mabadiriko Mugalu na Morrison Wanaingia Akitaoka Chama na Yusuph Mhilu
62β Simba Sc Wanapata Kona
74β Simba Sc Wanapata Kona ya 13
79β Simba Sc 6 Dar City 0 ( Mugalu)
Dakika 2 za Nyongeza
90 + 2 Kenedy Juma Anapata Kadi Ya Njano
FT SIMBA SC 6 DAR CITY 0
Hatuna huo ujinga mkuu,tutake radhi.Anaefungwa ni Dar City na anaeumia ni Yanga.
Simba nguvu moja
Wamecheza na timu ya dondocup wanaachaje kushinda Sasa[emoji23]Ikiwa ni Muendelezo Wa Hatua Ya 32 bora Kombe La Shirikisho la Azam, Leo Ni Simba Sc Vs Dar City.
Je Ni Nani Kufuzu kwenda Hatua Ya 16 Bora?. Tuwe pamoja Hapa JF kwa Live Updates kuanzia Saa Moja Kamili Jioni Ya Leo
Kikosi Cha Simba Kinacho Anza
View attachment 2101486
UPDATES:
Vikosi Vinaingia Uwanjani.
00β Mpira Umeanza Hapa Benjamini Mkapa
1β Simba Wanapata kona
2β Simba Wanapata Kona
04β Simba Wanapata Kona
05β Simba Sc 1 Dar City 0 (Meddie Kagere)
09β Simba Wanapata Free Kick
10β Simba Sc 1 Dar City 0 (Meddie Kagere)
13β Simba Sc 2 Dar City 0 (Meddie Kagere)
17β Athumani Matumbo Anaoneshwa Kadi Ya Njano
18β Simba Sc 3 Dar City 0 (Chama)
20β Dar City Wanapata Kona
21β Simba Sc 4 Dar City 0 (Rally Bwalya)
23β Simba Sc Wanapata kona
26β Simba Sc 4 Dar City 0
27β Simba Sc Wanapata Free Kick
29β Dar City Wanapata Kona 2
31β Simba Sc 4 Dar City 0
36β Simba Sc 4 Dar City 0
37β Simba Sc Wanapata Kona Ya 5
38β Simba Sc Wanapata Kona Ya 6
40β Simba Sc 4 Dar City 0
42β Juma Abdallah Anaoneshwa Kadi Ya Njano
43β Simba Sc Wanapata Kona 7
Dakika Moja Ya Nyongeza
45 +1 Simba Wanapata Kona Ya 8
Mpira ni Mapumziko.
Takwimu za Kipindi Cha Kwanza
View attachment 2101559
KIPINDI CHA PILI
Timu zinarejea Uwanjani
Simba Imefanya Mabadiriko ya Wachezaji 3, Bocco, Jimson na Wawa ametoka Enock Inonga, Bwalya na Kagere
45β Kipindi Cha Pili Kimeanza Hapa Benjamini Mkapa.
47β Simba Sc 5 Dar City 0 (Wawa)
53β Dar City wanapata Free kick
55β Dar City Wanafanya Mabadiriko Ya Wachezaji 3
60β Simba Sc Wanapata Free Kick
60β Simba wanafanya Mabadiriko Mugalu na Morrison Wanaingia Akitaoka Chama na Yusuph Mhilu
62β Simba Sc Wanapata Kona
74β Simba Sc Wanapata Kona ya 13
79β Simba Sc 6 Dar City 0 ( Mugalu)
Dakika 2 za Nyongeza
90 + 2 Kenedy Juma Anapata Kadi Ya Njano
FT SIMBA SC 6 DAR CITY 0
Huu ni ukweli mchungu kwa UtoMakombe Yote Yanayogombewa Tanzania ...Yametulia Kwenye Makabati Ya Simba Sports....!
FA hii.. huwa si ajabu Ndondo kupata matokeo dhidi ya timu ya ligi kuuWamecheza na timu ya dondocup wanaachaje kushinda Sasa[emoji23]
Basi kaogaGoli la Bocco ni halali. Hakunawa
kabisa ila nakukumbusha tu michuano hii hiiMarehemu kapiga chafya
ndondo iliopita ulala mapema tu au basi jana ungemfunga mbao hata goli 3Wamecheza na timu ya dondocup wanaachaje kushinda Sasa[emoji23]
mkuu heshima yakoSimba ukifunga huwa nasoma comments za huyu jamaa. Huwa nacheka sana [emoji23]. Bado aje yule ChamasonMorisonBwalyason
Ingetokea mmecheza na mbao kwa ule mpira wa Jana mngekuwa mmelala yooo Tena si kwa kigoli kimojaa
Ilikuwa lakini si kwa yanga hii.mkubali tuu usajili wenu safari hi mbovuu sanaaa[emoji3][emoji3]
unatafuta pakuchekea umekosa huyo dar city na mbao wote timu za ligi daraja la kwanzaIngetokea mmecheza na mbao kwa ule mpira wa Jana mngekuwa mmelala yooo Tena si kwa kigoli kimojaa
ngoja tuone mwisho wa msimuIlikuwa lakini si kwa yanga hii.mkubali tuu usajili wenu safari hi mbovuu sanaaa[emoji3][emoji3]