SIMBA SC yashinda 6-0 dhidi ya Dar City FC | ASFC | Benjamini Mkapa Stadium

SIMBA SC yashinda 6-0 dhidi ya Dar City FC | ASFC | Benjamini Mkapa Stadium

Sio wewe uliyekula goli 4 nusu fainal, kisha msimu uliofata tukakunywa moja fainali?
Nachokumbuka ni kuwa huyu mtu anayetetema hapa chini alitulaza mapema sana pale kwa mkapa
"Simba guvu moya"
hqdefault.jpg
 
Dah.....! Hivi ni nani anaweza kuexplain hii kitu kisayansi? Kukojolewa anakojolewa Dar City Lakini anayegumiagumia
ni Utopolo ..! Imekaaje hii.?
 
  • Thanks
Reactions: BRN
Tff watafute namna nzuri yakupanga ratiba, haiwezekani sisi Simba tupangwe na timu daraja la 3, halafu tuwachezeshe kwenye uwanja wenye taa wakati hawajawai kucheza uwanja wa taa maishani mwao.
 
Tff watafute namna nzuri yakupanga ratiba, haiwezekani sisi Simba tupangwe na timu daraja la 3, halafu tuwachezeshe kwenye uwanja wenye taa wakati hawajawai kucheza uwanja wa taa maishani mwao.
Mpaka hii game iishe utatoka jasho kila tundu la mwili wako..
 
Hivi timu ya daraja la tatu ina uzoefu gani wa kucheza usiku? Hii fair competition tunayoilalamikia humu kila siku iko wapi?
"Simba guvu moya"
 
Hivi timu ya daraja la tatu ina uzoefu gani wa kucheza usiku? Hii fair competition tunayoilalamikia humu kila siku iko wapi?
"Simba guvu moya"
Sio Simba wananunua tena?! kucheza usiku kuna shida gani kwani hawauoni mpira? utopolo ondoa shombo huku..
 
Back
Top Bottom