OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
AtebaaaaaaaaaaaMakolo acha kudeka
Yaani nyie mleta ngada zenu
Halafu mkataze mamlaka kutimiza majukumu yao
Hata mimi nashangaa hawa watu wanapatikanaje aiseeLakini yule DC ukimwangalia tu usoni na umbo unamwona ni kama hamnazo. Sijui tu hawa watu wanapataje vyeo.
Ukianzia na huyu mtoa mada hana hadhi ya kujadiliwa humuLabda mashabiki mbumbumbu pekee wenye mihemko na uwezo mdogo wa kufikiri na kuchanganua mambo; ndiyo watalaani na kukemea huo upuuzi.
Kauli yako hii inakufunga wewe na huyo mkuu wako wa mkoa. Kama hakukuwa na vurugu, polisi na huyo RC walienda kufanya nini?Video clip iliyorushwa, haioneshi uwepo wa vurugu ndani/nje ya uwanja!! Sasa kama siyo uzushi ni nini!!
Wanamichezo wenye akili timamu hawawezi kukemea/kulaani taarifa isiyo na ushahidi. Imagine mpaka muda huu hatuajaambiwa Matola na mwenzake walipelekwa kituo gani cha polisi baada ya kukamatwa! Video clip iliyorushwa, haioneshi uwepo wa vurugu ndani/nje ya uwanja!! Sasa kama siyo uzushi ni nini!!
Labda mashabiki mbumbumbu pekee wenye mihemko na uwezo mdogo wa kufikiri na kuchanganua mambo; ndiyo watalaani na kukemea huo upuuzi.
RC inampangiaje sehemu ya kuwa na police wakeKauli yako hii inakufunga wewe na huyo mkuu wako wa mkoa. Kama hakukuwa na vurugu, polisi na huyo RC walienda kufanya nini?
Nimekufunga mara nne mfululizoAtebaaaaaaaaaaa
Simba 1 Pamba(yanga b) 0
Chikolaaaaaaaaa
Tabora utd 3 Yanga 1
Silaaaaaaaaaaaa
Azam 1 Yanga 0.