Tate Mkuu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2019
- 33,092
- 96,127
Hii ndiyo silaha yenu kubwa watu msiokuwa na uwezo wa kujenga hoja. Hivyo hata sishangai.Weee ni kiazi mbatata haswa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ndiyo silaha yenu kubwa watu msiokuwa na uwezo wa kujenga hoja. Hivyo hata sishangai.Weee ni kiazi mbatata haswa.
Ulozi mwingi. Mtu anaenda kulala makaburini ili apate Cheo. Tabu kubwa!Lakini yule DC ukimwangalia tu usoni na umbo unamwona ni kama hamnazo. Sijui tu hawa watu wanapataje vyeo.
Yule mkuu alikosa busara ya kiuongozi. Sisi kama mashabiki hatuwezi kutenganisha ukuu wake wa mkoa na ushabiki wa yanga au pamba. Hakukua na sababu ya yeye kufika pale full stopView attachment 3159115
Msemaji wa Simba SC Ahmed Ally,amesisitiza msimamo wa klabu kuwa RC Mwanza alitumia mamlaka yake vibaya kuifanyia Simba mambo ya kihuni.
Amebainisha kuwa Simba imeshatoa taarifa kwa mamlaka za soka ili kuchukua hatua stahiki kwa wahusika wote.
My Take
Wanamichezo wote tukemee hii tabia ya kulewa madaraka kwa huyu RC. Tumsisitize Rais kuwaondoa watu kama hawa kwenye nafasi kwa sababu wanafifisha jitihada za kupeleka mbele mpira wa miguu
Ndo maana ni kama dish limeyumba ukimwangalia tu unaona.Ulozi mwingi. Mtu anaenda kulala makaburini ili apate Cheo. Tabu kubwa!
Kabisa yaaani. 😆🤣😂Ndo maana ni kama dish limeyumba ukimwangalia tu unaona.
Kwakuwa wew ni mwanayanga,umefumba macho alienda kufanya nini uwanjani?Wanamichezo wenye akili timamu hawawezi kukemea/kulaani taarifa isiyo na ushahidi. Imagine mpaka muda huu hatuajaambiwa Matola na mwenzake walipelekwa kituo gani cha polisi baada ya kukamatwa! Video clip iliyorushwa, haioneshi uwepo wa vurugu ndani/nje ya uwanja!! Sasa kama siyo uzushi ni nini!!
Labda mashabiki mbumbumbu pekee wenye mihemko na uwezo mdogo wa kufikiri na kuchanganua mambo; ndiyo watalaani na kukemea huo upuuzi.
Utopolo hamwezi kuelewa ni somo gumu kwenu, Sunday Manara na Kikwete wanawaangalia tuWanamichezo wenye akili timamu hawawezi kukemea/kulaani taarifa isiyo na ushahidi. Imagine mpaka muda huu hatuajaambiwa Matola na mwenzake walipelekwa kituo gani cha polisi baada ya kukamatwa! Video clip iliyorushwa, haioneshi uwepo wa vurugu ndani/nje ya uwanja!! Sasa kama siyo uzushi ni nini!!
Labda mashabiki mbumbumbu pekee wenye mihemko na uwezo mdogo wa kufikiri na kuchanganua mambo; ndiyo watalaani na kukemea huo upuuzi.
Aaahh Mwasibu CPA feki OKW BOBAN SUNZU ovyo kabisa.View attachment 3159115
Msemaji wa Simba SC Ahmed Ally,amesisitiza msimamo wa klabu kuwa RC Mwanza alitumia mamlaka yake vibaya kuifanyia Simba mambo ya kihuni.
Amebainisha kuwa Simba imeshatoa taarifa kwa mamlaka za soka ili kuchukua hatua stahiki kwa wahusika wote.
My Take
Wanamichezo wote tukemee hii tabia ya kulewa madaraka kwa huyu RC. Tumsisitize Rais kuwaondoa watu kama hawa kwenye nafasi kwa sababu wanafifisha jitihada za kupeleka mbele mpira wa miguu
Fuatilia chanzoHaueleweki. Unaleta ushabiki mandazi katika mambo serious. Umetoka kusema hakukuwa na vurugu, tena unakuja kusema makomando wamevamia viongozi vyumbani.
Halafu ukiwa unamfungia mtu ili asitoke inakuwaje uvunje vioo na milango?
Uwanja wa CCM Kirumba umezungukwa na ofsi sizizopungua 50Mkuu wa Mkoa aliingilia mazoezi ya Simba na kuleta Polisi Uwanjani. Viongozi wa Pamba Jiji walivamia mazoezi na Kugoma kuondoka. Kimsingi hilo ni kosa kwani hawakupaswa kulazimisha kuhudhuria mazoezi hayo. Mkuu wa Mkoa, Said Mtanda amekiuka taratibu za mpira, kwa Unazi wakeView attachment 3159189
Umbumbumbuni umehama lini?Mimi tabora utd lini umenifunga mara 4 mfululizo?
Klabu ya Mpira na Mteule wa Rais nani Mkubwa? Tuna wajinga wengi sana!Kweli hii nchi imeoza yaani club ya mpira inamvimbia mteule wa rais!
Naamaje wakati mi tabora damu we jamaa vipi?Umbumbumbuni umehama lini?
Umesaliti familia
Upo kichakani TaboraNaamaje wakati mi tabora damu we jamaa vipi?
Sasa si umsikie na mhusika mwenyewe, ili uifahamu sababu iliyompeleka uwanjani! Au wewe unamsikiliza Ahmed Ally peke yake?Kw
Kwakuwa wew ni mwanayanga,umefumba macho alienda kufanya nini uwanjani?
Umri wako unakuruhusu. Ukikua utaacha.